Nimepungukiwa nguvu za kiume!

Nimepungukiwa nguvu za kiume!

Mdeke_Pileme

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
1,596
Reaction score
2,226
Wana jamvi naomba mnipeni ushauli kwa siku ya leo hii,nilikuwa najilinda sana kuhusu mademu kutoka kipindi kirefu sana sasa naona jinsi siku zinavyo zidi kusonga mbele wanawake naona kama watu wa kawaida 2 katika mapenzi sionyeshi msisimko hata nikionyesha msisimko ni atleast sana nakuludi vile vile. Nitatizo gani hili ili nilitatue maana naogopa hata kutongoza nisije nikatia aibu.
 
Zinaa mbaya Mkuu
Subiri ukioa mambo yatakuwa vizuri.
 
Wana jamvi naomba mnipeni ushauli kwa siku ya leo hii,nilikuwa najilinda sana kuhusu mademu kutoka kipindi kirefu sana sasa naona jinsi siku zinavyo zidi kusonga mbele wanawake naona kama watu wa kawaida 2 katika mapenzi sionyeshi msisimko hata nikionyesha msisimko ni atleast sana nakuludi vile vile. Nitatizo gani hili ili nilitatue maana naogopa hata kutongoza nisije nikatia aibu.

hivi kutokuwa na hisia za kufanya uzinzi na kupungukiwa nguvu za kiume ni kitu kimoja? nauliza tu lakini
 
Asbuh yote hii?????tena monday!!!!!!
 
Kula sana na kunywa sana nyama na supu ya PWEZA mtawalia.
 
Kama 20 ila kunakoendelea naona nikubaya zaidi coz kipind cha nyuma nilikuwa nafeel kwelikweli
 
Wana jamvi naomba mnipeni ushauli kwa siku ya leo hii,nilikuwa najilinda sana kuhusu mademu kutoka kipindi kirefu sana sasa naona jinsi siku zinavyo zidi kusonga mbele wanawake naona kama watu wa kawaida 2 katika mapenzi sionyeshi msisimko hata nikionyesha msisimko ni atleast sana nakuludi vile vile. Nitatizo gani hili ili nilitatue maana naogopa hata kutongoza nisije nikatia aibu.
Dawa za nguvu za kiume bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html
 
Matatizo hayo yapo kwa wanamme wengi ila hawataki kusema nguvu za kiume zinakua kama mvua za msimu kuna siku mtu anakua na nguvu za kutosha na kuna wakati Hanna kitu. Nadhani una haja ya kuwaona wataalamu kwa ushauri zaidi.
 
tatizo lako ni hofu na kutojiamini kunakotokana na kuogopa maambukizi, au kuhofu kuwa mwanamke atakuonaje uki-fail, na pia ukiingia ndani unawaza jinsi ya kumridhisha huyo mwanamke kitu ambacho si sawa. be free, mzoee huyo mwanamke na ikibidi usikimbilie kufanya mapenzi ukiwa ndani na si lazima ufanye, enjoy in other way mpaka hofu yoote itaondoka with time then utashangaa performance itakua ya ajabu
 
Wana jamvi naomba mnipeni ushauli kwa siku ya leo hii,nilikuwa najilinda sana kuhusu mademu kutoka kipindi kirefu sana sasa naona jinsi siku zinavyo zidi kusonga mbele wanawake naona kama watu wa kawaida 2 katika mapenzi sionyeshi msisimko hata nikionyesha msisimko ni atleast sana nakuludi vile vile. Nitatizo gani hili ili nilitatue maana naogopa hata kutongoza nisije nikatia aibu.

Fanya mazoez kjana
 
Siku nyingine ukitaka ushauri mzuri wa PM wadada c unaona midume inavyokudharau na majibu yao
 
Back
Top Bottom