Nimerikoroga



wewe Kiboko mkuu hata mie sichangii tena
 

Unaambiwa muda mrefu bila mpenzi na sasa ni wa nne tu, Bongo bwana hata siku mbili ni muda mrefu bila kuwa na mpenzi ama kweli tunasujudu ngono...aibu
 
Pole kwa kuchanganyikiwa, ni mtu yule yule aliyetaka tuwe gud friends ndo akataka kuja kunitembelea nyumbani, huyu ninaemsema hapa ni mpyaa tumeanza urafiki mwishoni mwa february

Dada Chimala wewe nadhani wa kule ya ziwa kanda, hivi kiswahili kinagonga au? umeandika baada ya kukaa muda mrefu bila kuwa na uhusiano....mhhhhhhhhh naogopa dada yangu, muda mrefu ni january to february jamani? U,echemsha dada angu, fikiria kutoka kivingine lasivyo mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Pole kwa kuchanganyikiwa, ni mtu yule yule aliyetaka tuwe gud friends ndo akataka kuja kunitembelea nyumbani, huyu ninaemsema hapa ni mpyaa tumeanza urafiki mwishoni mwa february


makubwa haya sasa, long time == one month
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…