Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
Hongera kwa kujitahidi kuvumilia....(hebu naomba ufafanue hizi posts)
Great thinker sana wewe....
Pia naomba kupata ufafanuzi wa hii post yako ya January, kabla sijachangia
Sasa hivi naogopa hata kuchangia..utunzi umekuwa mwingi sana!!
Sasa sijui nichukue lipi niache lipi??
Ulipost July 2010 kwamba mpenzi alitaka muwe marafiki wa kawaida
then ukapost Jan 2011 kwamba unaomba ushauri mpenzi wako anataka muwe good friend..
Hao ni watu wawili tofauti au ni yule yule??
Kama huyu wa sasa ni kweli amefanya hivi...na amekuonesha dalili zote toka mwanzoni, kwa nini ulihangaika kumfuatilia kwenye mitindao (wivu wa hali ya juu)..ulipaswa kumpotezea muda mrefu tu.. au kwa sababu ana gari??
Ila umenichanganya kusema kweli..
Pole kwa kuchanganyikiwa, ni mtu yule yule aliyetaka tuwe gud friends ndo akataka kuja kunitembelea nyumbani, huyu ninaemsema hapa ni mpyaa tumeanza urafiki mwishoni mwa february
Pole kwa kuchanganyikiwa, ni mtu yule yule aliyetaka tuwe gud friends ndo akataka kuja kunitembelea nyumbani, huyu ninaemsema hapa ni mpyaa tumeanza urafiki mwishoni mwa february