Ulikuwa mgodini ambako hakuna mtandao?Wakuu poleni na mihangaiko ya hapa na pale ni mda kidogo sikuwa hapa kutoka na harakati za hapa kasi tuu nilikuwa safarini kikazi namshukuru mungu nimerudi salama niko hapa nchini saa hivi naendelea na harakati za hapa kazi tuu!vipi wajameni kwa upande wangu mambo yanaenda sijui nyinyi!!
sehemu gani hiyo?Hapana mkuu nilikuwa sehemu ambaya hairuhusiwi mawasiliano
Sasa huko si ndo kuiasi timuSisi tupo jombaa,hali tia majimaji,na hakuna dalili ya kocha kubadirisha mfumo,kuanzia kipa hadi winga namber 11 wote mabeki,timu inajilinda tu mwanzo mwisho,matokea yake radha ya mchezo kupotea na washabiki kuisusa timu....Tafakali.