Ulikula bata wa Kisiju???
kwanini hukula mwaka mpya kijijini????
asante sana kwa kunikumbuka na kwa mzigo ulioniletea...dah thax so much!1
ningejua upo uko ningekuagiza MAYAI YA SIMBLIS...au cjui maziwa yake..haha hah ivi ana maziwa yule ennh? ennh ivo ivo ningeshukuru
bt thax god km umerud salam
welcome bak ma papi pai..hpfull auataondoka tena ukaniacha mpweke mie...miss u badly..miss u badly..!!!!!!!!!!
I'm here now