Nenda Demis Kajaribu Bahati Yako Unawachelewa kuanza Mwaka Na Bonus hyoMungu atakupatia hitaji lako tatizo sisi Wadada tunaogopa kwenda pm tunaonekana Malaya na kutongoza na Kutongozwa visivyojulikana ni kama kucheza Biko na tatu mzuka
Nipo njiani naendaNenda Demis Kajaribu Bahati Yako Unawachelewa kuanza Mwaka Na Bonus hyo
Utakuwa umefanya vzur sana!Mi ninae hapa kando nimpe phone ulonge naye
Nashukur sana Mkuu kwa mawazo yako...sina maana mbaya ninaposema "awe amemaliza kusoma" ukiisoma vzr point hyo Mkuu inajieleza!"Asiwe na ndoto ya kujiendeleza kimasomo tena"
Hii kauli itakukosesha mke kuwa makini mkuu.
Usihof Mkuu,Mungu atakupatia hitaji lako tatizo sisi Wadada tunaogopa kwenda pm tunaonekana Malaya na kutongoza na Kutongozwa visivyojulikana ni kama kucheza Biko na tatu mzuka
Mkuu,umenichekesha sana...lakn Wasukuma ni wastaarabu sana!Mke wa kufanana naye yupo hapo hapo Staff mkuu,ila kama wote Wasukuma Eishhh una haki ya kuja huju.
Wasukuma wana maumbo complicated sana mikono tu mfano kama ya Jokeri[emoji3] [emoji3] [emoji3] .
Ameeni!Mungu akupe hitaji la moyo wako
I know them...,more than I know my body parties!Daah mkuu hutaki mchaga??yaan katika makabila yooote mia ngapi umemtoa mchaga pekeyake.doh
Asante sana Mkuu,Kila la kheri mkuu
Asante sana Mkuu,Kila la kheri mkuu
hivi huyu hana katoto hata kamoja?Tena huyu nafikiri bado hajazaa na hana ndoto ya kusoma.
hivi huyu hana katoto hata kamoja?
Nashukur sana,japo sijakuelewa unamaanisha nini Mkuu!UTAMPATA MWANAMKE LAKINI SIO WA KUFANANA NA WEWE-HIVYO VEGOZO ULIVYOWEKA AMBAVYO WEWE HUNA HATA KUWA TENA WA KUFANANA NAWE
safi...za mwaka mpyaMambooooooo