Nimerudi tena: Natafuta mke wa kufanana nami

Mungu akuongoze mkuu, maana huku bongo watu wako nyuma San, wanadhani wanaumme wanaotafuta wake mitandaoni n Malaya, wana kasoro au vyovyote vile lkn huo sio ukweli! Inawabidi wachangamkie seal
Nashukur sana Mkuu,unaifaham MAGAKA ya Koromije?
 
Hakuna jinsi, oa kioo 100% kufanana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Hakuna jinsi, oa kioo 100% kufanana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Nashukur Mkuu,japo hapo unataka nioe taswira!
 
Mke wa kufanana naye yupo hapo hapo Staff mkuu,ila kama wote Wasukuma Eishhh una haki ya kuja huju.


Wasukuma wana maumbo complicated sana mikono tu mfano kama ya Jokeri[emoji3] [emoji3] [emoji3] .
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mshenzi kweli wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…