Nimerudiii toka jela ya jamiiforumz

Nimerudiii toka jela ya jamiiforumz

Mpigamsuli

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
3,885
Reaction score
582
Wana jf nimerudi toka jela ila kifungo sikustahili kabisaa ,wapi ze duduz,ipycalypse,ninga r,madamperry,madammakamuzi!
 
ulifanya nini mpaka ukaenda jela?
kuna mtu aliniuzi nika mtukana ila kwa upande mwingine mods wana ukandmizaji kuna watu wanatukana lakini wako kimya tu! Mimi nahisi hata hao mods wana "id" zao humu jf na ndio wanaotukana humu jf
 
kuna mtu aliniuzi nika mtukana ila kwa upande mwingine mods wana ukandmizaji kuna watu wanatukana lakini wako kimya tu! Mimi nahisi hata hao mods wana "id" zao humu jf na ndio wanaotukana humu jf

Angalia mzee wa muscle usije ukarudi tena.
 
kuna mtu aliniuzi nika mtukana ila kwa upande mwingine mods wana ukandmizaji kuna watu wanatukana lakini wako kimya tu! Mimi nahisi hata hao mods wana "id" zao humu jf na ndio wanaotukana humu jf

Umeona,umeshafungiwa tena!
Wewe unachezea ndevu za nyati?
Unatukana afu unasema mods wanacreate Ids kwa ajili ya kutukana?
HUNA ADABU!!
 
Wana jf nimerudi toka jela ila kifungo sikustahili kabisaa ,wapi ze duduz,ipycalypse,ninga r,madamperry,madammakamuzi!

kwanini mkuu umeamua kupunguza rep power yako kama huku staili ungetuma email hii hapa ungesaidiwa contactus@jamiiforums.com
 
Back
Top Bottom