Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
Ulifanya nini mpaka ukaenda jela?Wana jf nimerudi toka jela ila kifungo sikustahili kabisaa ,wapi ze duduz,ipycalypse,ninga r,madamperry,madammakamuzi!
kuna mtu aliniuzi nika mtukana ila kwa upande mwingine mods wana ukandmizaji kuna watu wanatukana lakini wako kimya tu! Mimi nahisi hata hao mods wana "id" zao humu jf na ndio wanaotukana humu jfulifanya nini mpaka ukaenda jela?
kuna mtu aliniuzi nika mtukana ila kwa upande mwingine mods wana ukandmizaji kuna watu wanatukana lakini wako kimya tu! Mimi nahisi hata hao mods wana "id" zao humu jf na ndio wanaotukana humu jf
powa kaka nitazingatia kanuni ILA SITA KUWA TAYARI KUNYAMAZIA HOJA ZA KIPUUZIAngalia mzee wa muscle usije ukarudi tena.
kuna mtu aliniuzi nika mtukana ila kwa upande mwingine mods wana ukandmizaji kuna watu wanatukana lakini wako kimya tu! Mimi nahisi hata hao mods wana "id" zao humu jf na ndio wanaotukana humu jf
Wana jf nimerudi toka jela ila kifungo sikustahili kabisaa ,wapi ze duduz,ipycalypse,ninga r,madamperry,madammakamuzi!
kwanini mkuu umeamua kupunguza rep power yako kama huku staili ungetuma email hii hapa ungesaidiwa contactus@jamiiforums.com
Wewe kweli mtata..powa kaka nitazingatia kanuni ILA SITA KUWA TAYARI KUNYAMAZIA HOJA ZA KIPUUZI