ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Dah...ndiyo kipanda uso chenyewe hicho[emoji41]Yaani Sasa hivi maada imenitoka kuna kitu nilikuwa nakiwaza nikasema nikawashirikishe Wana jf wana chitchat,Cha ajabu kimenitoka kichwani yaani hata sio muda mrefu Ni Sasa hivi sasa hivi tu.nikikumbuka nitawatag
Ulichoandika Ndio ulichokuwa unakiwaza[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani Sasa hivi maada imenitoka kuna kitu nilikuwa nakiwaza nikasema nikawashirikishe Wana jf wana chitchat,Cha ajabu kimenitoka kichwani yaani hata sio muda mrefu Ni Sasa hivi sasa hivi tu.nikikumbuka nitawatag