M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
usitake watu tule ban alfajiri yote hiiKama kuna aliye karibu na namnani hotel akaniulizie pale mapokezi kama wameniokotea pete yangu room # 60 nilikuwa na mdada flani bonge mweusi. Nimefika mbali naelekea Iringa msibani tafadhali. Zawadi NONO itatolewa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pole sana...!kachonge tu nyingine hiyo Fanya umetoa sadakaKama kuna aliye karibu na namnani hotel akaniulizie pale mapokezi kama wameniokotea pete yangu room # 60 nilikuwa na mdada flani bonge mweusi. Nimefika mbali naelekea Iringa msibani tafadhali. Zawadi NONO itatolewa
Yaani ningekua mimi ndo huyo Mrs. nisingemuelewa! Hiyo chafuka mpaka utoe prete ulishika nini!?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pole sana...!kachonge tu nyingine hiyo Fanya umetoa sadaka
Ukiulizwa na Mrs.Blessing muambie nilichafuka vidoleni katika kunawa nkavua Pete Mara simu ikaita nikapokea sasa Pete nikiweka juu ya sinki nikaisahau hapo hapo!nikaondoka kuja kushtuka sina Pete!!
Nikarudi sikuikutaa[emoji3] [emoji3]
iliingia mchuzi mama[emoji3] [emoji3]Yaani ningekua mimi ndo huyo Mrs. nisingemuelewa! Hiyo chafuka mpaka utoe prete ulishika nini!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]iliingia mchuzi mama[emoji3] [emoji3]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pole sana...!kachonge tu nyingine hiyo Fanya umetoa sadaka
Ukiulizwa na Mrs.Blessing muambie nilichafuka vidoleni katika kunawa nkavua Pete Mara simu ikaita nikapokea sasa Pete nikiweka juu ya sinki nikaisahau hapo hapo!nikaondoka kuja kushtuka sina Pete!!
Nikarudi sikuikutaa[emoji3] [emoji3]
Wazoefu katika ubora wao[emoji1] [emoji1][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pole sana...!kachonge tu nyingine hiyo Fanya umetoa sadaka
Ukiulizwa na Mrs.Blessing muambie nilichafuka vidoleni katika kunawa nkavua Pete Mara simu ikaita nikapokea sasa Pete nikiweka juu ya sinki nikaisahau hapo hapo!nikaondoka kuja kushtuka sina Pete!!
Nikarudi sikuikutaa[emoji3] [emoji3]
I've never cheat Ila namsaidia tu ila nilishadanywaga hivyo na nikaamini wanawake tuna asili ya kuamini sana waume zetu haswa ikiwa kosa la kwanzaUna uzoefu na hii michezo nini? Maana hizi mbinu si mchezo.
Ndoa tamu bwana!!Wazoefu katika ubora wao[emoji1] [emoji1]
Watu wana uzoefu sana hahahahaDuuh! Sa kwanini uliivua? Ni bora uvae tu ili mdada ajue kua umeoa. Sa ona ulichojisababishia! Afu wenzako wanavua na kuweka kwenye wallet au mfukoni.
Hahhahahaaaa eeeh Mungu wangu eeh...uliivua ukiwa unafanya nini sasa?kuzuia michubuko?Kama kuna aliye karibu na namnani hotel akaniulizie pale mapokezi kama wameniokotea pete yangu room # 60 nilikuwa na mdada flani bonge mweusi. Nimefika mbali naelekea Iringa msibani tafadhali. Zawadi NONO itatolewa