Nimesahau pete NAMNANI HOTEL nikiwa mchepuko!

Wewe mtaalamu
 
Wanaume nyie mna maana!!
Tushadanganywa sana so nampa mbinu tulizodanganyiwa baadae unakujua ukweli,unasikitika
Kwa hiyo wewe hujapitia humo, ila umepitishiwa humo hadi ukawa mzoefu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 

Mh mh mh mh
 
Sijawahi kuvua Pete yangu hata iweje, no way aiseeee

Hivi pete ni km ka sanamu flani? Why iwe sehemuya mwili wako ikiwa hukuzaliwa nayo? Ni kukosa kujiamini na kuwa 'mtumwa' tyuu nadhani. Be original brother
 
Blessing unapenda sana madada poa....Miaka kadhaa nyuma ulileta thread ya madada poa wa mjini Dar Es Salaam.Na wadau hawakukuangusha,kulikuwa na michango lukuki.No za Simu zilimwagwa nyingi sana hapa.Naona tabia ishakuwa ngozi.
 
So unaruhusu chain ya kufanganywa mwanamke mwenzako? Uwe na huruma we dada
Ndo kashadanganywa na ataendelea kudanganywa pia maana mumewe mapepe...

Namshauri ndoa yake isitetereke ndo huruma yangu kwa mwanamke mwenzangu!

Aendelee kuamini mumewe ni muaminifu hvyo hvyo maana akijua ukweli...!!
 
Una experience nzuri kudanganya mkuu
 
Ole wakoo usije na hiio Pete utanitambua![emoji123][emoji123][emoji123]
 
Na hizo pete ukivua tu kwenda kuchepuka lazma ipotee sijui kwann
 
Kwani show ilikuwa haifanyiki mpaka uvue pete kaka.??.. We andaa uongo wenye mashiko kwa mkeo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…