Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Enheee eti jana ulinikasirikia ZD my dear???
Ohh my dear bht,why? siwezi kukukasirikia.Nakuamini mnoo😵ndoa shaka kabisa kipenzi changu.Najua ilikuwa ni tatizo la teknoloji tu.
Sema Mpwa,............nadhani hii kwenye hii thread ni sehemu nzuri ya kujadili ofutopiki!....wapwaaz na mabinamuuz nina jambo nataka tutete....
DUH!bihechitii umenifikisha hapo!lol KAMATA SENSI KWANZA😀longa mpwa wa ukweli
nadhani hii kwenye hii thread ni sehemu nzuri ya kujadili ofutopiki!....wapwaaz na mabinamuuz nina jambo nataka tutete....
thank you so much my dear!!! true ni tech ilisumbua na Iribini anajua hilo!!
DUH!bihechitii umenifikisha hapo!lol KAMATA SENSI KWANZA😀
eeeh why not bwana!! I'm proud of you wapwaz wa ukweli!!!
naona hapa sijui nianzishe thread,au niwatwange pi-emu!nishaurini basi
naona hapa sijui nianzishe thread,au niwatwange pi-emu!nishaurini basi
HAHAHAHAHAHAHAH!Hahaha! I know already! LOL!
Hahaha! I know already! LOL!
namwaga mboga hapa hapa!......just wait and see!nikianzisha thread wataongea sana wakina vizibo,ngoja nimuingilie humu humu.....mpwa anzisha uzi....kama kutakuwa na cha kuPM basi kianzie pale.....nimetoa ushauri wangu
Hapana mpwa hapa hapafai,anzisha thread,hii thread ina mabalaa ya ugay na manuksiHAHAHAHAHAHAHAH!
wewe bana wwewewe
mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!SENKSI!
sasa nitawaambia hapa hapa
Hapana mpwa hapa hapafai,anzisha thread,hii thread ina mabalaa ya ugay na manuksi