NIMESALITIWA nisaidieni

nenda na bajaji ukamchue demu wako....bado anakupenda.line yake iliibiwa na ana mpango wa kuchonga nyingine....ng'ang'ania!
 
Kama hutaki kuibiwa usiowe......!
 
Pole sana visible kwa kushambuliwa huwa nasikia vibaya sana member mgeni akishambuliwa humu na wanaojiona wakongwe napenda kuwajulisha tu HATA MBUYU ULIANZA KAMA MCHICHA. mbarikiwe nawapenda wote
 
Wanawake wa Kitanzania = CCM

wengi ni mafisadi tu acha kulia tena umesaidiwa maana angekuacha njia pand awakati mlisha unganisha mambo ndo unge kuwa kichaa kabisaaa.

ACHANA NAYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
achana naye.mbona madem wengi tu.kama huamini nenda pale new postal office utaniambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…