NIMESALITIWA nisaidieni

Visible

Visible Is available but Very Busy
Member
Join Date: Tue Dec 2009
Posts: 49
Thanks: 10
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 0



Chrispin

Chrispin is on his way to heaven Edit
JF Premium Member
Join Date: Sat Mar 2008
Location: At Any Bar Counter
Posts: 3,335
Thanks: 363
Thanked 564 Times in 410 Posts
Rep Power


Bado unatambaa wewe!
Compare hizo red ujue mi na wewe nani nguli hapa JF.
Am a premium member young boy!
 


haaa
 
BG BOY DON CRY na kama umeachwa na tatizo ni yeye unataka tukurudishie uzidi kuumizwa, nyie ndio mnaopigwagwa tena ngoja nisepe umesema unataka ushauri wa wawanawake tu.
 
BG BOY DON CRY na kama umeachwa na tatizo ni yeye unataka tukurudishie uzidi kuumizwa, nyie ndio mnaopigwagwa tena ngoja nisepe umesema unataka ushauri wa wawanawake tu.

Mpwa kuna vijana magradyueti wa juzi, unawakumbuka pale Afrika Sana? Wanataka kucheza na malegend! Ngoja tuangalie spidi yake tujue cha kufanya!
 
utaniitaje demu mimi??

NITAMWAMBIA MKUU WA KAYA AKUFUNGIE'

huijui JF WEWE.
mimi ndio mkulu wa kaya!nikupe ban????????
yaani hata jina hujui kulichagua,unajiita VIZIBO????!unajuchoresha bure,unadhani umaarufu wa invizibo umeanza december?
 
AVATAR yake/KIZIBO/VIZIBO inanipa picha yake HALISI
 
Sasa Iribini nisaidie hapo nilipobold.....wewe au yeye???? hahaaa

We mwache tu! Namvutia kasi nione spidi yake. Si unakumbuka siku ile pale Afrika Sana? Ndio alikuwa anagradyueti huyu mtoto. Hahaha! Anachezea shilingi ****** huyu!
 
Mpwa kuna vijana magradyueti wa juzi, unawakumbuka pale Afrika Sana? Wanataka kucheza na malegend! Ngoja tuangalie spidi yake tujue cha kufanya!
huyu aliingia na gia kweli kweli, mpaka akadimand kukaribishwa!!! akatumia na signature ya mkuu wa kaya, mpwa fidel80 na PJ wakamuonya na Invisible mwenyewe akamchimba biti. huyu upsteaz sijui salama?
 
utaniitaje demu mimi??

NITAMWAMBIA MKUU WA KAYA AKUFUNGIE'

huijui JF WEWE.
hihihihihiiiiii! Kazi kweli kweli.Nenda Mabibo hostel,IFM-Institute of female management,DUCE,Ustawi wa jamii n.k Utawakuta wapo wamejaa tele wa dizaini ya kukufaa wewe ile unaitaka.
 
Mchumba,huwezi jua ana id ngapi huyu hapa JF,Usikute ni mpwa au binamu ila anatutest.
 
huyu aliingia na gia kweli kweli, mpaka akadimand kukaribishwa!!! akatumia na signature ya mkuu wa kaya, mpwa fidel80 na PJ wakamuonya na Invisible mwenyewe akamchimba biti. huyu upsteaz sijui salama?

Naona kijana kaikimbia thread yake. Atakayemwona alipo aniambie, I want to deal with her seriously!
 
hihihihihiiiiii! Kazi kweli kweli.Nenda Mabibo hostel,IFM-Institute of female management,DUCE,Ustawi wa jamii n.k Utawakuta wapo wamejaa tele wa dizaini ya kukufaa wewe ile unaitaka.

Mh huyu mi ninashaka naye ZD....sijui kuachwa kumemuathiri ubongo?
 
Mchumba,huwezi jua ana id ngapi huyu hapa JF,Usikute ni mpwa au binamu ila anatutest.

Aaa wapi mchumba! Hakuna mpwa wala binamu mwenye kichwa maji. Utamtambua mpwa/binamu kwa maandiko yake!
 
huyu aliingia na gia kweli kweli, mpaka akadimand kukaribishwa!!! akatumia na signature ya mkuu wa kaya, mpwa fidel80 na PJ wakamuonya na Invisible mwenyewe akamchimba biti. huyu upsteaz sijui salama?

kwani vip mpwa?

una uhakika gani nilitumia signature yake?

wote mnajipendekeza kwa mkuu wa kaya.
 
unajua huyu vizibo ni HATER wa WAPWAAZ (na mabinamu)...kwenye mabano iribini ananisoma zaidi!😀
....tunaendelea,huyu kijana anadhani kuwa na aidii mbili ni ujanja!sasa mimi nimemsoma tayari ni nani
 
We ulichelewa Midemu ya hivyo ni kuingiza chupa ya bia halafu unapiga chini kila atakapokwenda akikumbuka anajifananisha na kinyesi! Na uhakika huyo jamaa aliyemchukua huenda hata hiyo VX siyo yake kaazima ili ale uroda kisha amwage! Mjini shule! Midemu inayoshoboka kihivyo ni rahisi kuipatia wewe tafuta BMW jipiteshe pitishe mitaa yao halafu sikilizia atakavyokuja hapo mndo pa kumpatia kaka siyo unakaa unalilia tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…