Nimesema kuzaa au kuwa na serious relationship Tanzania au Afrika mwisho

Kosa Ni lipi kakufanya nn uwaite Dada zetu rabish kwa miak mitatu mna enjoii tu leo rubish toa kisa kamili Mkuu uwez kupat ushaur kwa jins ulivyojitokeza kuwananga wamama bila sababu
 
Funguka zaidi,anakuchora vp!?
 
Usijisikie vibaya na kuanza kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Jitathimini kwanza wenda tatizo likawa kwenye uchaguzi wako wa wenza.
 
Funguka zaidi,anakuchora vp!?
Mkuu...mbona unamwekea mwenzio maneno mdomoni? Amesema anamchola sio anamchora...ni vyema ukauliza kama hujaelewa maana ya neno
 
Mkuu ukipata time andaa mada kuhusu unavowajua wanawake ..uzidi kutufungua akili
 
We men..we always think that we are dating angels or a supermarket that we can get all we want....And we are too feeble to notice our shortcomings
 
Dan D imekuaje kaka?! Mbona hueleweki?🀣🀣
 
Hawa dada zetu wamekuwa wa ovyo sana siku izi yani kugawa papuchu na uongo ndio imekuwa sifa zao. Nishatumiwa bill ya hospital almost 300k aisee kumbe demu kaenda kuflash mimba ya jamaa alafu nilipe mimi, sometimes ukifikiria unaweza kukata tamaa na kuwachukia kabsa lakini life goes on and it has either with or without them.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…