Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Wabongo bhana yani kila kitu kinacho tokea lazima watakataftia KAMSEMO
mfano yalivyo letwa mabasi ya mwendo kasi , kaliletwa KAMSEMO mwendo kasi , ikawa kila kitu ni mwendo kasi , tuliona nywele za mwendo kasi , tai, simu, glass, suti, nk KAMSEMO hako ka mwendo kasi kalizimwa
ikaja kupatwa kwa jua, ikawa kila kitu ni kupatwa hadi majina yaliletwa mfana mwakupatwa , nk KAMSEMO hako bado kapo ila kwa mbaali
Kakaletwa KAMSEMO kapya "Mungu anakuona /anawaona/anatuona" kamepotelea wapi sijui
likaja tukio la tetemeko la aridhi huko bukoba , duh ikawa kila kitu ni tetemeko hadi tetemeko la ndoa , nk
sasa wabongo wamekuja na nyingine hii inaitwa "SIPENDAGI UJINGA /HATUPENDAGI UJINGA" haka KAMSEMO sasa ndio habari ya social media , yani kila meseji mwishoni usipokuta hako KAMSEMO meseji hiyo haijanoga kabisa , sasa na mimi namalizia kwa kumchana anae leta hivi vimsemo , na mmwambie nimemchana laivu
Sipendagi ujinga mimi
mfano yalivyo letwa mabasi ya mwendo kasi , kaliletwa KAMSEMO mwendo kasi , ikawa kila kitu ni mwendo kasi , tuliona nywele za mwendo kasi , tai, simu, glass, suti, nk KAMSEMO hako ka mwendo kasi kalizimwa
ikaja kupatwa kwa jua, ikawa kila kitu ni kupatwa hadi majina yaliletwa mfana mwakupatwa , nk KAMSEMO hako bado kapo ila kwa mbaali
Kakaletwa KAMSEMO kapya "Mungu anakuona /anawaona/anatuona" kamepotelea wapi sijui
likaja tukio la tetemeko la aridhi huko bukoba , duh ikawa kila kitu ni tetemeko hadi tetemeko la ndoa , nk
sasa wabongo wamekuja na nyingine hii inaitwa "SIPENDAGI UJINGA /HATUPENDAGI UJINGA" haka KAMSEMO sasa ndio habari ya social media , yani kila meseji mwishoni usipokuta hako KAMSEMO meseji hiyo haijanoga kabisa , sasa na mimi namalizia kwa kumchana anae leta hivi vimsemo , na mmwambie nimemchana laivu
Sipendagi ujinga mimi