Nimeshachangia

Nimeshachangia

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Dawa ya wale wanaopita kwenye sehemu za starehe na kutaka kuchangiwa pesa kwa ajili ya ujenzi ama ununuzi wa vitu vinavyohusiana na mambo ya kiimani ni kuwaambia tu NIMESHACHANGIA..!
Hawahawa ndio wanakuponda huko ila pesa haramu wanaitaka
 
Nilitegemea kuona picha ya mifuko kumi ya Cement ikiambatana na title ya uzi kwamba umesha kabidhi mchango wa UKOOTER.
 
Nilitegemea kuona picha ya mifuko kumi ya Cement ikiambatana na title ya uzi kwamba umesha kabidhi mchango wa UKOOTER.
UKU
1472569854428.jpg
 
Dawa ya wale wanaopita kwenye sehemu za starehe na kutaka kuchangiwa pesa kwa ajili ya ujenzi ama ununuzi wa vitu vinavyohusiana na mambo ya kiimani ni kuwaambia tu NIMESHACHANGIA..!
Hawahawa ndio wanakuponda huko ila pesa haramu wanaitaka
Pesa yako sio haramu.
Ila pale kwenye starehe ndio unaitumia haramu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] .
Kisaikolojia ukimkuta mtu anafanya kazi ukimuomba pesa mnaweza gombana. Ila akiwa kwenye starehe, ndio wakati muafaka. Kama anayo, Anakupatia bila kinyongo chochote [emoji2]

Hujasikia hata wanawake wengine huomba hela ya mboga wakati wa kupata dyudyu.
 
Mshana, sio hao tuu ..., ongeza na wale wanaojitapa kukusanya kodi kwa ma trillion lakini bado wanatangaza kuomba za madawati ...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji23] [emoji124] [emoji124] utaitwa mchochezi
 
Back
Top Bottom