Stability
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 306
- 706
Sasa nikajisemea haijalishi magumu haya nayopitia, sitaki niipoteze na nafsi yangu pia na labda familia yangu kwa ajili ya maisha mazuri.
Ushawahi kujiuliza baada ya kwenda kwa mganga ni ipi stori ya nyuma inabaki ambayo wewe haujui, nini kinabaki katika roho yako, nini kinafanyika katika nafsi yako, ni bei gani ya kiroho utaenda kulipa?
Roho yangu huwa inanisuta sana na kuniuma na kujiona hii sio asili yangu na inaambia sawa unaweza kusaidika ila katika gharama gani
Waganga never forver and ever, acha nieendelee kupitia huu msoto hadi kieleweke hivyo hivyo.
Ushawahi kujiuliza baada ya kwenda kwa mganga ni ipi stori ya nyuma inabaki ambayo wewe haujui, nini kinabaki katika roho yako, nini kinafanyika katika nafsi yako, ni bei gani ya kiroho utaenda kulipa?
Roho yangu huwa inanisuta sana na kuniuma na kujiona hii sio asili yangu na inaambia sawa unaweza kusaidika ila katika gharama gani
Waganga never forver and ever, acha nieendelee kupitia huu msoto hadi kieleweke hivyo hivyo.