Huzurungi Tz
Member
- Sep 5, 2020
- 12
- 5
Hilo swala dogo saaana Ila kama kuna V.V.I.P seat ntakaaa tena kWa amani tu Mkuu...Hakikisha umevaa nguo zako za kijani na barua kutoka kwa mjumbe wa tawi alafu kaa kule chini angalia jukwaa
Asante saaana [emoji120]bila shaka umeletwa kwa basi la kijani, btw karibu sana tukupe dawa.
Mbona Aisee?Aisee
Asante saana Babu [emoji120][emoji120] ila nmekuja na ugolo na alkasuswiKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Kwa malipo ya nauli na pesa ya chips kila siku nicheki PMNaomba niseme kuwa mimi nimeshafika naombeni nafasi nami nitambe humu ndani...
KaribuuuuuuNaomba niseme kuwa mimi nimeshafika naombeni nafasi nami nitambe humu ndani...