Nimeshangaa Kenya Wanafunzi waliojifungua wanafanyia Mitihani Hospital na Walilofanya Uhalifu wanafanyia Mitihani Polisi!

Nimeshangaa Kenya Wanafunzi waliojifungua wanafanyia Mitihani Hospital na Walilofanya Uhalifu wanafanyia Mitihani Polisi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tanzania tunaweza kuiga hii ni faida ya Katiba Mpya

Wanafunzi wa secondary ambao walipata mimba na tarehe za Mitihani zimewakutia hospital basi wanapelekewa Mitihani huko huko hospital na kuifanya

Kadhalika Wanafunzi waliofanya uhalifu na tarehe za Mitihani zimewakutia rumande basi watafanya Mitihani yao huko huko Polisi

Nchi Jirani mmetisha sana 😂

Hii iingizwe Kwenye Sera za CCM
 
Ni lazima tukubaliane, kumfukuza mtu shule kwa makosa ya Mimba, Kutia mimba, Utovu wa nizamu huko ni kumhukumu kiasi kwamba hana second chance ya kurekebisha makosa yake.

Ni lazma kue na second option ya watu kama hawa ya kupata haki yake ya kielimu hata kwa kuendelea kama private candidates.

Lkn, kumfutia usajili binti alie pata mimba kidato cha tatu, tena ukute karambwa rambwa tu na mtt wa mjomba juu juu usiku bila hata ridhaa yake, haiko fair kabisa
 
Tanzania ni nchi ya nidhamu hayo ni mambo ya kiwaki (zesgeni)
 
Tanzania tunaweza kuiga hii ni faida ya Katiba Mpya

Wanafunzi wa secondary ambao walipata mimba na tarehe za Mitihani zimewakutia hospital basi wanapelekewa Mitihani huko huko hospital na kuifanya

Kadhalika Wanafunzi waliofanya uhalifu na tarehe za Mitihani zimewakutia rumande basi watafanya Mitihani yao huko huko Polisi

Nchi Jirani mmetisha sana 😂

Hii iingizwe Kwenye Sera za CCM
hiki ni jambo jemba la kuigwa
 
Rate ya single mothers Kenya ni unbelievable. Nadhan hii ni moja ya Sababu inayoongeza ukali wa maisha.

Kule ni kawaida kuona pisi ina miaka 17 ina mtoto 1 au 2+ at the same time anaenda shule kama kawaida. Damn!

Tanzania ikae mbali na huo upuuzi unless siku ukimwona mtoto wako ana miaka 15 na kibendi juu utavunja champagne 🍾 kucelebrate.
 
HILI NALO MKALITAZAME.

Nawaagiza akina KASIMU na BASHITE mkaliangalie hili jambo kwa makini ili tujue tunakwenda vipi.

Tumeanza kusikia vijikelele kelele kutoka kwa akina SARUNGI na AMSTERDAM kwamba ni vyema sasa tuwaruhusu watoto wetu waliojazwa mimba waendelee na shule.

Mimi kama mama nimeguswa na jambo hili, na nataka niwahakikishie kuwa serEkalE imeshatoa bilion SABA NUKTA SITA ZIRO kwa ajili ya kushughulikia jambo hilo.

BASHITE nina imani na uzoefu wako wa UBUNIFU, nakuagiza ukabuni mbwinu ili tuone hizo fedha tunazitumiaje. Nataka uniletee mipango mikakati.

Na wewe KASIMU umekuwa mwalimu kwa muda mrefu sina shaka na uzoefu wako, nataka ukalitekeleze jambo hili kisha uniletee ripoti yenye HADIDU REJEA.

Mimi ni MAMA, na nyinyi ni vifaranga vyangu. MKINIKUNA NITAWAKUNA.

Cc: Nyani Ngabu FaizaFoxy DR Mambo Jambo Lucas Mwashambwa Dkt. Gwajima D chiembe ChoiceVariable Stuxnet Tayana-wog Extrovert Poor Brain Kalpana
 
Rate ya single mothers Kenya ni unbelievable. Nadhan hii ni moja ya Sababu inayoongeza ukali wa maisha.

Kule ni kawaida kuona pisi ina miaka 17 ina mtoto 1 au 2+ at the same time anaenda shule kama kawaida. Damn!

Tanzania ikae mbali na huo upuuzi unless siku ukimwona mtoto wako ana miaka 15 na kibendi juu utavunja champagne 🍾 kucelebrate.
ina maana wanaume wa kenya wana nguvu kuliko wa tanzania?
 
Ni lazima tukubaliane, kumfukuza mtu shule kwa makosa ya Mimba, Kutia mimba, Utovu wa nizamu huko ni kumhukumu kiasi kwamba hana second chance ya kurekebisha makosa yake.

Ni lazma kue na second option ya watu kama hawa ya kupata haki yake ya kielimu hata kwa kuendelea kama private candidates.

Lkn, kumfutia usajili binti alie pata mimba kidato cha tatu, tena ukute karambwa rambwa tu na mtt wa mjomba juu juu usiku bila hata ridhaa yake, haiko fair kabisa
Ipo aingie ktk mfumo usio rasmi kuna qt na pc zote ni option ila ya kuwarudisha shule hapana. Nadhani hamjawahi kuhudumia hawa vijana mashuleni
 
Back
Top Bottom