Hii ya mtoto wa miaka 2.5 ndiyo kali zaidi, bali kupata kufahamu zaidi kuhusu kisukari fuatisha anuani hii(mi si mtaalamu sana katika ku-link):kisukari | maajabu ya maji good luck
safi sana mkuu kama umeanza ku-shine kuhusu maji, nakusihi uingie mara kadhaa katika blog hiyo na utajifunza mengi yatakayokusitaajabisha, king'asti kafafanuwa vizuri zaidi ila kwa huyo wa miaka miwili msitumie tiba ya maji bila kupata mwongozo wa kutosha kwanza.
Pepo hilo sio sukari ya kweliHellow jf dr's mtoto wa dada yangu kapatwa na huu ugonjwa wa kisukari ki-ukweli kabisa sikuwa kusikia kuhusu huu ugonjwa kuwapata watoto wadogo.hapa napata hofu kwa kuwa niliwahi kusikia huo ugonjwa hauna tiba.(sina uhakika) wana jf ninachoomba ni uelewa wenu 1. nini chanzo cha kisukari 2.ipi tiba yake
kin`gast umetoa maelezo ambayo yapo ki-taaluma zaid nami pia sasa nimeweza kupata pa kuanzia.poleni sana. hiyo inajulikana kama juvenile diabetes type 1. inaweza kusababishwa na vitu viwili:
1.Autoimmune- ndio sababu kuu, virusi vinastua mwili kutengeneza sumu ya kinga, ambayo mwisho zinaharibu betta cells ambazo ziko kwenye pancreas na kusababisha insulin isitengenezwe kwa usahihi. inashukiwa kuwa ni Coxsackie B4 virus ama Cytomegalovirus
2.mara chache inatokea shambulizi makali kwenye pancrease (sijui ndo yaitwa kongosho?),ama kwa sababu zozote za kiugonjwa pancrease kuondolewa kwa operesheni
kuna uwezekano wa kuipata kwa 6/100 endapo ndugu yako wa tumbo moja anayo( so ni muhimu kuwaangalia kwa ukaribu hao nduguze manake type 1 diabetes ina-attack ghafla sana hivyo ni hatari). Akizingatia ushauri wa wataalamu haina madhara makubwa sana na atakua salama,inshaallah.
mh! Fafanua ili nijaribu kupima uwezekano wa kuwepo kwa pepo.huwa siamini sana kama hayo mapepo yapo.ila naamini msemo wa lisemwalo lipo nakama halipo linakuja.
Sukari kwa mtoto/mtu wa chini ya miaka 30 siyo jambo la kawaida.
We acha tu... Kuna wakati almost tunakufuru kwa kuona watoto wanavo teseka yani. But we know Mungu hakuumba ugonjwa so tunasali sana in faith and hope...Hatari sana, watoto wengine wanazaliwa na matazizo kibao mpaka unaogopa
Sukari kwa mtoto/mtu wa chini ya miaka 30 siyo jambo la kawaida.
Kua na imani tu kaka yangu. Sali sana na fanya chochote kilicho katika uwezo wako kumsaidia huyo mtoto....unaweza kukufuru kweli hasa katika mambo yenye utata kama haya
hutakiwi kuamini mapepo ila kukubali kuwa yapo na kukubali sio kuyasapoti, vitabu vya mungu vinasema shetani yupo sasa kama wewe hutaki iko siku utasema huamini kama mungu yupo, shauri lako banamh! Fafanua ili nijaribu kupima uwezekano wa kuwepo kwa pepo.huwa siamini sana kama hayo mapepo yapo.ila naamini msemo wa lisemwalo lipo nakama halipo linakuja.
hutakiwi kuamini mapepo ila kukubali kuwa yapo na kukubali sio kuyasapoti, vitabu vya mungu vinasema shetani yupo sasa kama wewe hutaki iko siku utasema huamini kama mungu yupo, shauri lako bana