Nimeshangaa Mchambuzi TV-E anasema Dube anapigwa misumari( kurogwa) pale Yanga

Nimeshangaa Mchambuzi TV-E anasema Dube anapigwa misumari( kurogwa) pale Yanga

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Tanzania vituko haviishi yaani Mchambuzi aliyesoma akiwa live kabisa. Anasema Dube kukosa nafasi ni laZima analogwa na washambuliaji wenzake akina Musonda, Mzize na Baleke

Huyu bwana haamini katika mpira hajui mpira wa Sasa ni sayansi. Yaani ligi imechezwa mechi 1 na mechi 2 za CAF jamaa ashamkatia tamaa Dube

Hizi media zinaajiri watu wa ovyo kabisa. Ni kauli ya kijinga kuhusishwa mpira na kurogwa

Analeta mtafaruku Kwa team ya Yanga, assume Dube anatazama kipindi anasikia TV wanasema anarogwa
Efm wajaribu kuwaambia wafanyakazi wake kutumia taaluma zake vizuri
 
WACHEZAJI WENGI WA YANGA NI WACHAWI NA WANASHINDA KILA SIKU UCHI KWA WAGANGA WAKIOGA DAMU HASA MZINZE NA MUSONDA NA NDIO WANAOMLOGA DUBE KAMA VIPI ARUDI KWAO AKAOGE.
 
Majin yamechoka kulishwa supu za vibudu kila siku. Sasa yameamua kuwavaa wachezaji wao
 
Tanzania vituko haviishi yaani Mchambuzi aliyesoma akiwa live kabisa. Anasema Dube kukosa nafasi ni laZima analogwa na washambuliaji wenzake akina Musonda, Mzize na Baleke

Huyu bwana haamini katika mpira hajui mpira wa Sasa ni sayansi. Yaani ligi imechezwa mechi 1 na mechi 2 za CAF jamaa ashamkatia tamaa Dube

Hizi media zinaajiri watu wa ovyo kabisa. Ni kauli ya kijinga kuhusishwa mpira na kurogwa

Analeta mtafaruku Kwa team ya Yanga, assume Dube anatazama kipindi anasikia TV wanasema anarogwa
Efm wajaribu kuwaambia wafanyakazi wake kutumia taaluma zake vizuri
Ni nani huyo? Una maana nae anawaroga wenzie hapo studio.
 
Back
Top Bottom