Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Sabato njema wapendwa
Leo nimesali Kanisa la Wasabato salasala
Kuna ratiba ya ubatizo muda huu ila hali imekuwa tofauti kabisa na tulivyozoea kuwa wabatizwa wakila kiapo hubatizwa hapohapo Kanisani
Alijejitoa kubatizwa leo ni kijana mdogo akiwa pekeyake na amekula kiapo mbele ya waamini ila mchungaji amesema hatobatizwa hapa Kanisani bali ataenda kubatizwa nchini Marekani
Nimeshindwa uliza shwali hata moja kwani muda huu tunaendelea na Ibada.
Mbarikiwe sana
Sabato njema wapendwa
Leo nimesali Kanisa la Wasabato salasala
Kuna ratiba ya ubatizo muda huu ila hali imekuwa tofauti kabisa na tulivyozoea kuwa wabatizwa wakila kiapo hubatizwa hapohapo Kanisani
Alijejitoa kubatizwa leo ni kijana mdogo akiwa pekeyake na amekula kiapo mbele ya waamini ila mchungaji amesema hatobatizwa hapa Kanisani bali ataenda kubatizwa nchini Marekani
Nimeshindwa uliza shwali hata moja kwani muda huu tunaendelea na Ibada.
Mbarikiwe sana