Eeh mama anafungua nchi πNa vifaa vya ujenzi vinapanda kila siku..
Wanaonza kujenga sa hii Mama anawanyooshaπ...kinachonikera hamna kiongozi anaongelea hili swalaEeh mama anafungua nchi π
Ukirudi next week bati utazikuta 50 πYani vimepanda sana
Eeh mama anajenga uchumi wa nchi, katiba sio kipaumbeleπWanaonza kujenga sa hii Mama anawanyooshaπ...kinachonikera hamna kiongozi anaongelea hili swala
πππ...bado maji na umeme ni mgao. Tatafika uchumi wa juu chap kwa harakaEeh mama anajenga uchumi wa nchi, katiba sio kipaumbeleπ
Eeh unajua ujenzi siku zote unatumia mambo mengi, mbao,mabati,cement maji na hata umeme!πππ...bado maji na umeme ni mgao. Tatafika uchumi wa juu chap kwa haraka
Waziri anahusikaje na kupanda bei vitu?Mawaziri wapo busy na vikao kupata allowance