Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
He! Hakuna penalt ya hesabu?Sababu kubwa ya wingi wa hizi division 1 ni kutokuwa na zile penalt za hesabu!
Ufaulu wa hesabu kwa mwaka huu ni wa kiwango cha chini sana kuliko miaka yote na kama penalt zingekuwepo basi division 1 huenda mwaka huu zingekuwa chache kupita miaka mingine!
Wapo wanafunzi wengi sana wana division 1 lakini wana F za hesabu.
Mkuu umeongea jambo zuri sana. Tatizo ni mitihani ya kubet inayowapeleka wanafunzi shule za sekondari wakiwa hawajui kusoma wala kuandika. Tazama video ifuatayo kwa ushahidi zaidi; sipendi kuongea maneno matupu. Tazama video [emoji116]
View attachment 2084395
Na huko sekondari mitihani ya NECTA imerahishishwa kwa makusudi ili kuwafaulisha wanafunzi kisiasa. Tazama mtihani wa Biology wa NECTA 1999 ulinganishe na mtihani wa NECTA 2017 utapata jibu mwenyewe. Zamani kupata divisheni wani halikuwa jambo la mchezo. Maswali rahisi kama haya (2017) hata mkulima ambaye hakwenda shule atapata divisheni wani misa ya kwanza tu!
NECTA 1997
View attachment 2084398
NECTA 2017
View attachment 2084401
He! Hakuna penalt ya hesabu?
Unaongelea mtaala gani mkuu? Mi nimeshika kitabu Cha mtoto wangu wa Darasa la tano naona wanasoma vitu ambavyo Enzi zetu tulisoma O level. Nimeona wanasoma Hadi ReproductionHivi hamuelewi kuwa kwa sasa kidato cha nne ndiyo shule ya msingi?nina uhakika mtoto akifika kidato cha nne atakuwa anajua mambo ya msingi....siasa ipo
Duh, hiki kitu kumbe wengi hawajui ee…?
Penalt zilishakufa miaka mingi sana iliyopita…
Hawa nilioonyesha miaka ya nyuma wangekuwa na three..lakini wana F za hesabu na wana division 1 na 2.
View attachment 2084581
Real eyes realize real lies..Mkuu umeongea jambo zuri sana. Tatizo ni mitihani ya kubet inayowapeleka wanafunzi shule za sekondari wakiwa hawajui kusoma wala kuandika. Tazama video ifuatayo kwa ushahidi zaidi; sipendi kuongea maneno matupu. Tazama video 👇
View attachment 2084395
Na huko sekondari mitihani ya NECTA imerahishishwa kwa makusudi ili kuwafaulisha wanafunzi kisiasa. Tazama mtihani wa Biology wa NECTA 1999 ulinganishe na mtihani wa NECTA 2017 utapata jibu mwenyewe. Zamani kupata divisheni wani halikuwa jambo la mchezo. Maswali rahisi kama haya (2017) hata mkulima ambaye hakwenda shule atapata divisheni wani misa ya kwanza tu!
NECTA 1997
View attachment 2084398
NECTA 2017
View attachment 2084401
Kumbe serikali imeondoa penalty kwa makusudi ili kuongeza idadi ya divisheni ones kisiasa 😳 Mungu anawaona kwa kweli; ndio maana nchi hii imelaaniwa!!!! 😳 😳 😳Duh, hiki kitu kumbe wengi hawajui ee…?
Penalt zilishakufa miaka mingi sana iliyopita…
Hawa nilioonyesha miaka ya nyuma wangekuwa na three..lakini wana F za hesabu na wana division 1 na 2.
View attachment 2084581
Hatari mzee hii inchi ishauzwaMKURABITA, MKUKUTA...Yaani hawa jamaa wanatuona sisi wajinga sana yaani...😁😁😁
Duuh unajua hii kitu huwa natafakari sana jibu nakosa .Nani ana kumbukumbu ya matokeo ya mwaka 2012....ilikuwa ni kizazaa...wanafunzi walifeli kupita kiasi...nchi nzima...cha kushangaza yaliporudiwa aliyekuwa na div2 anajikuta ana div.4,,,, na mweny div4...anajikuta ana Div.2 au 3,,, sasa sielewi ni mchezo gani ulifanyika hapo katikati....Mi pia ni muhanga wa miaka hiyo 2012
Mi pia ni muhanga wa 2012, kuna shida saba NECTA.Nani ana kumbukumbu ya matokeo ya mwaka 2012....ilikuwa ni kizazaa...wanafunzi walifeli kupita kiasi...nchi nzima...cha kushangaza yaliporudiwa aliyekuwa na div2 anajikuta ana div.4,,,, na mweny div4...anajikuta ana Div.2 au 3,,, sasa sielewi ni mchezo gani ulifanyika hapo katikati....Mi pia ni muhanga wa miaka hiyo 2012
Kuna siasa nyingi sana mkuu.Wasalamu Wakuu
Leo Baraza la Mitihani Tanzania Bara, Limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne Na Kuonesha Ufaulu ukiongezela kwa Asilimia Chini ya 2%. Well And Good.
Lakini Baada ya Kufuatilia Matokeo Ya Shule Nyingi Nimeona Division 1 zikiwa Nyingi sana na Division 4 zikipungua Sanaa. Hii ikanipa Maswali na Kujiuliza Kuhusu Ubora wa Mitihani Wanayotungiwa Vijana wetu na Ubora wa Elimu. Nakubaliana na wanaosema kuwa Ubora wa Elimu haupimwi kwa Ufaulu lakini mwaka 2021 nimeona ndio Mwaka ambao Division 1 zimekuwa Nyingi sanaa kuliko miaka Yote na Wasichana Wamefaulu sanaa kuliko Miaka Yote.
Hii imenipa Maswali na Kuhisi Kuwa Huenda Siasa Imeingia Kwenye Elimu yetu, Yaani Katika Kuunga Juhudi za Rais Mwanamke na Ufaulu umeenda Sana kwa Wanawake kuonesha Juhudi ambazo Serikalo inafanya kuwainua wanawake. Hii nimewaza kwa sauti.
Naweza kuwa sina Points nzuri za Ku Address hili lakini Kiukweli kuja Harufu ambayo sio Nzuri kwenye Elimu yetu.
Najiuliza hizi Division 1 je ni sawa na zile za miaka ya 2012 kuja Chini? Zile za miaka ya 2000-2011? Ni sawa na hizi? Je, waalimu mtusaidie Mitihani ni sawa? Au mitaala kwa Ujumla Imebadilika?
Hii inanifanya kuwaza Mbali, Huenda hawa Vijana Wetu wakaja kukumbana na Kitu Kizito katika Matokeo yao ya kidato cha sita ambacho wengi Wanatarajia Kufaulu vizuri kwenda Chuo na Kupata Mkopo wa Serikali, kwasababu Hapo serikali Itahitajika kutenga Budget Kubwa Huenda Hawa Vijana wetu walio Pitishwa Kiholela Wakashindwa Kwa Wingi kwenda Chuo kwa Kigezo cha Serikali kuogopa Kutoa Mikopo ya Elimu Ya Elimu Ya Juu kwa Wanafunzi Hawa, na Kuongeza Late ya Unemployment mtaani na Kitakacho tokea ni Hawa Kuamua Kwenda Diploma kuendelea kupoteza muda wa Kuajiriwa na Kuongeza ugumu wa Maisha.
Tuwajibu kama wadau wa Elimu Nchini Kuangalia Hili kwa Undani sanaaa? Nakumbuka Kipindi Chetu Mama Ndalichako Alifahamika na Wanafunzi wote kwasababu Ya Mitihani Yake, Lakini Mrithi wake wa sahizi sijui hata kama anafahamika kama Mama Ndalichako, katika Kusimamia Ubora Wa Mitihani.
Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6
Wadau Tuangalie sana hili
Matokeo ya 2012 yalifutwa na kutolewa upya, tufanye refference kwa yapi, ya awali kabla ya kufutw au baada ya kufutwaSiyo kweli.
Nakupa rejea ndogo tu.
Rejea matokeo kidato cha nne 2012 then urudi tuendelee na mjadala
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app