Nimeshangazwa na ukubwa wa biashara ya ukahaba Tiktok, kweli siku hizi haina haja kujipanga Riverside

mbona wabaya
 
Mkuu, wewe umeenda kufanya nini huko? Kwanini algorithm ime recommend hizo pages kwako?
 
Huyu mweupe anassbabisha kalaga baho nadownload hii app sasahiv.

Mungu anisimamie kwenye mapambano yangu. Eimeeen
Cc. ephen_
 
Watu wengi sana wanaangalia porn kwa kujificha, adult video kukuta ina 30M views ni kawaida sana, wakati YouTube video yenye 2M views ni maajabu.
 
Last week kuna mdada simjui,hanijui akaanza kunichatisha. Mara ghafla akanitumia picha ya kipapa kisafi kinoma, kimenyolewa vizuri (bald pussy), kimetuna vyema. Hapo alikuwa anajiandaa kwenda kuoga. Kwa style hii CHAPUTA watakosa wanachama?
 
Kwanza tukubaliane tu kuwa, kuwafukuza au kukemea pekee hakutasaidia ni sawa na kufunika moto kwa majivu;
Mimi napendekeza suluhisho kama ifuatavyo;

1. Wanaume waruhusiwe kuoa mke zaidi ya mmoja kwani ukichanganya na hii changamoto ya ushoga na ukosefu wa ajira/kipato; Wanaume wanaenda kuwa bidhaa adimu huko mbele na kupelekea hali kuwa mbaya zaidi kushinda Sodoma. Kwa mujibu wa Biblia, Yesu hakukatataza watu kuoa wake Wengi, sheria ya mke mmoja ilikuja kutungwa zaidi ya miaka 600 baada ya Yesu kutwaliwa.
2. Tuongeze vyuo vya veta watu wengi wapate ujuzi ili waweze kukopa na kujiendesha, tofauti na sasa ambapo wakopaji wengi hawana ujuzi na ndio sababu kuna changamoto kubwa ya marejesho
3. Tujenge viwanda watu wengi wapate ajira ili waweze kujitegemea hii iende sambamba na kuangalia kiasi cha kodi kwa bidhaa moja (kodi iangaliwe kwa Triple down effect)
4. Kuimarisha msingi wa somo la hesabu huku chini kwani biashara na ufundi kwa kiasi kikubwa vinategemea hesabu (tofauti na sasa ambapo wengi hawana ufaulu wowote kwenye hesabu)
5. Wazazi watimize wajibu wao kwa kuhakikisha watoto wanaelimika na kupata ujuzi rasmi
6. Wanafunzi wafundishwe vizuri shuleni kuhusu utandawazi na kutambua kuwa; sio kila wanachofanya wazungu ni kizuri.
7. Viongozi wa dini waweke mchango wao kwa kufundisha maadili
 
Mkuu, wewe umeenda kufanya nini huko? Kwanini algorithm ime recommend hizo pages kwako?
Algorithm kuna siku inafanya random kujaribu interest zako, pia si mtumiaji hivyo wa tiktok..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mfumo unaitwa algorithm
 
Ukipita mida ya saa nane na kuendelea ni balaa tupu, na namba inakuwa imeachwa hapo. Ni wewe kwenda kuutafuta huo utelezi.
 
Kutokana na ukata wa pesa na huku stareh mjini zimeongezeka Dada zetu hawana budi kuuza Pusi kivyovyotee...

Unaambiwa kichwa cha mwanamke kikikosa akili basi maungo ya uzazi wake ndo yanayo Sulubika na kuteseka
 
Tatizo la ushamba wa waswahili,simu wamezijua late sana na utandawazi na social media vikaanza.
Sasa hamna kingine wanachojua.
Insta ma social media zote,hamna biashara ya maana inayotangazwa.
Zaidi ya,
Malaya,
Madalali
Viwanja vya starehe
Nguo
Chakula.(at least)
Kubeti
Muziki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…