Nimeshiba Mahaba....๐Ÿ’•

Nimeshiba Mahaba....๐Ÿ’•

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,379
Reaction score
41,294
Ikawa asubuhi ikawa jioni....

Habari za jioni Kasiende, nzuri.

Waelekea wapi niunge tela...!!

(Kwani vipi...!! Kuingia tela huko vipii...!?) isiwe ishu...

Naenda kupata mlo wa jioni kisha amsha popo maana godoro limelowekwa linakauka kwa mwanga wa mwezi na nyota....

Huku na kule meza ikaandaliwa.....๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
04D19A7F-2412-4BD1-9526-170D4594A5B1.jpeg



Baada ya hapo nikahamia kwenye mziki kunyoosha viungo huku vikilainishwa na kinywaji nyevu nyevu....๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
6306C837-F46C-41FF-A7CF-1CD255DECB67.jpeg


Basi kimiminika kinashka huku viungo vinalainika huku nanyoosha viungo.....

Aliyefata tela kachemsha karudi kulala mie sina hata tone la usingizi ndo kwaanzaaa kumekuchaaa....

Basi kundi la wanaume wakaanza kuimba, bia tamuu..... nani kasemaaa....



Mvinyo mtamiii weeweeee, ukikutana na mvinyo wa asali lazima uagane na nyonga....

Kitu lainiiii, nyororoooo, taaamuuuuu....
Imepoaaaaa, unaimeza bila kipiga funda aahahahahahahaaaa.

Mahaba mpaka pomoni...

Nimeshiba jamaniii, ila mpishi anaendelea tuu kupika....

Wine ๐Ÿท taaam ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹....๐Ÿ’•


Kasinde.
 
Ikawa asubuhi ikawa jioni....

Habari za jioni Kasiende, nzuri.

Waelekea wapi niunge tela...!!

(Kwani vipi...!! Kuingia tela huko vipii...!?) isiwe ishu...

Naenda kupata mlo wa jioni kisha amsha popo maana godoro limelowekwa linakauka kwa mwanga wa mwezi na nyota....

Huku na kule meza ikaandaliwa.....๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
View attachment 2008408


Baada ya hapo nikahamia kwenye mziki kunyoosha viungo huku vikilainishwa na kinywaji nyevu nyevu....๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
View attachment 2008407

Basi kimiminika kinashka huku viungo vinalainika huku nanyoosha viungo.....

Aliyefata tela kachemsha karudi kulala mie sina hata tone la usingizi ndo kwaanzaaa kumekuchaaa....

Basi kundi la wanaume wakaanza kuimba, bia tamuu..... nani kasemaaa....

View attachment 2008411

Mvinyo mtamiii weeweeee, ukikutana na mvinyo wa asali lazima uagane na nyonga....

Kitu lainiiii, nyororoooo, taaamuuuuu....
Imepoaaaaa, unaimeza bila kipiga funda aahahahahahahaaaa.

Mahaba mpaka pomoni...

Nimeshiba jamaniii, ila mpishi anaendelea tuu kupika....

Wine ๐Ÿท taaam ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹....๐Ÿ’•


Kasinde.
I like the way you dance.
 
Ikawa asubuhi ikawa jioni....

Habari za jioni Kasiende, nzuri.

Waelekea wapi niunge tela...!!

(Kwani vipi...!! Kuingia tela huko vipii...!?) isiwe ishu...

Naenda kupata mlo wa jioni kisha amsha popo maana godoro limelowekwa linakauka kwa mwanga wa mwezi na nyota....

Huku na kule meza ikaandaliwa.....๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
View attachment 2008408


Baada ya hapo nikahamia kwenye mziki kunyoosha viungo huku vikilainishwa na kinywaji nyevu nyevu....๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
View attachment 2008407

Basi kimiminika kinashka huku viungo vinalainika huku nanyoosha viungo.....

Aliyefata tela kachemsha karudi kulala mie sina hata tone la usingizi ndo kwaanzaaa kumekuchaaa....

Basi kundi la wanaume wakaanza kuimba, bia tamuu..... nani kasemaaa....

View attachment 2008411

Mvinyo mtamiii weeweeee, ukikutana na mvinyo wa asali lazima uagane na nyonga....

Kitu lainiiii, nyororoooo, taaamuuuuu....
Imepoaaaaa, unaimeza bila kipiga funda aahahahahahahaaaa.

Mahaba mpaka pomoni...

Nimeshiba jamaniii, ila mpishi anaendelea tuu kupika....

Wine ๐Ÿท taaam ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹....๐Ÿ’•


Kasinde.
Angalia wine huwa inashusha vitu chini huko, ๐Ÿ˜
 
Back
Top Bottom