Nimeshikizwa kiatu mdosho

Nimeshikizwa kiatu mdosho

Vampire 99

Senior Member
Joined
Jun 15, 2021
Posts
108
Reaction score
63
Nawasalimu wana JF wote

Sasa bhana juzi jtatu nilienda zangu kununua sweta kwenye pitapita nikazoom kiatu nikaikubali, nikapatania nikachukua kwa elfu 15. Leo sinakanyata nayo kichele kwenye mishe zangu, hahaha kurudi home kucheki soli imekula kinoma kama vile nilikuwa na drift kiatu road. Acheni tu roho inaniuma yani elfu 15 yangu hadi nimeshindwa kula chakula, note mimi sio mpenzi wa viatu.
 
Nawasalimu wana JF wote

Sasa bhana juzi jtatu nilienda zangu kununua sweta kwenye pitapita nikazoom kiatu nikaikubali, nikapatania nikachukua kwa elfu 15. Leo sinakanyata nayo kichele kwenye mishe zangu, hahaha kurudi home kucheki soli imekula kinoma kama vile nilikuwa na drift kiatu road. Acheni tu roho inaniuma yani elfu 15 yangu hadi nimeshindwa kula chakula, note mimi sio mpenzi wa viatu.
Aisee. nimecheka sana. kha!
 
Kuna uwezekano wa hiyo 15 ni ya magumashi wale wenye mioyo inayo wauma sasa wako free ndani ya nafsi zao.
 
Back
Top Bottom