Nimeshinda kituo cha polisi leo baada ya huyu mkaka (Bonge) Kuzimia wakati tunafanya tendo la ndoa

Nimetafuta sana connor kapigwa ban angepita hapa
 
Kipaji kikubwa cha utunzi. Shigongo aione hii please. Vipaji vya utunzi vinapotea bure !!!
 
Kabla ya mechi hukuigagua timu
 
yaani cku nyingine ukisahau kuni tag ..nakulipisha kodi ya matangazo ..au nawaamuru mods wakufnyie kma walichomfnyia yule mganga wako
Wamesafisha uzi wakeee
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bonge ndo maana mm sitaki kabisa wanaume wazee wala vibonge yan unaweza kaa rumande hivi hivi.
Hii story imenikumbusha Mzee mmoja hv enzi za usichana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nashangaaa watu mapovu wakati vitu vya ukweli
 
Hahahaha na amekukaririsha hivyo siku ukikuta tofauti utamuangalia hilo jicho [emoji30][emoji30]baki na mimi tu sawa mim utaniambia mwenyewe kama tamu au la
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]naona unaniwekea kizuizi siku akizimia atawekewa drip 10 za maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…