Nimeshinda kituo cha polisi leo baada ya huyu mkaka (Bonge) Kuzimia wakati tunafanya tendo la ndoa

Hahha demis utakua na undugu na gudume na beira baby boy si bure [emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahaaa hiyo woman on top ..ni hatari ni Mara 10 ykifo cha mende ..maana hiyo akipiga mapanga boi kadhaa tu ..wajerumani Hawa hapa...unahadhirika mkuu..maana kichwa cha suguriwa kama mtu anayesugua magaga..
Hahaha basi bonge ni haki yake kuzimia
 
Wewe mwenyewe bonge ! Badala utumie mbuzi wewe unapanda farasi!!!
 
Mtoto wa kike(naanza kushtuka hata sio mwanamke wewe)kutunga tunga habari ni UPUUZI
Jirekebishe achana na upuuzi huu!
 
Biashara matangazo
 
story inachekesha...
Naona mabonge hawajapenda...nimewajua kwa comments zao...

ubonge ni noma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…