Titanic ilizama, iweje bonge[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee... Nilikua bored na mahasira juu ila hii thread imenichangamsha mnooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bonge kakutana na utamu wa maunooo.... Chezea papuchi wewe? Inapindua nchiiii
Tatizo hujaleta kashata tungeshushia vizuriAiseeee yan nikikumbuka haya mambo nacheka peke yanguuuu khaaaa kweli watu tunabadilika
Vitu vya kuvundikwa haviishiwi ladha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]loh umenichekesha sana na wewe
Sawa bana maana ubuyu ulikuwa hot sana, nadhani asimilia karibu mia waliamini huu ubuyu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabisa wala hujakosea