Nimeshinda kituo cha polisi leo baada ya huyu mkaka (Bonge) Kuzimia wakati tunafanya tendo la ndoa

Kuna huyo nilimpata alinipiga show mpaka nikaomba poooh
Ndio vizur sasa, show nzito, show za kueleweka. Akilegeza tu hamchelewi kumuita (mwanaume wa dar) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lete huku kitumbua huwa sili kitumbua kwa pupa kama niko mashindano ya Olympic nakula kwa hamu sio urohooo...krb
 
Hahaha acha kuzingua mabonge wewe huyo bonge wako ni bonge minyama uzembe na usikute hiyo ilikua ni mara yake ya kwanza kusex
 
Mh hatar aisee mambo yaviuno hayo au ulimkalia mzima mzima mpaka ukambana kifua?
 
Afu linatoa harufu Kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…