Elections 2010 Nimeshinda kwa kishindo!!!

MU tunaomba kura yako kwa Dr. Slaa. Hongera sana mkuu.
 
heshima kwako mkuu, safari ni ndefu bado, tusichoshane mapema

Kama safariunajua bado ni ndefu basi usingetuhabarisha kuwa umeshinda kwa kishindo tena kwa tiketi ya ccm! subiria hadi safari yako itakamalizika ndipo utuambie kuwa umeshindwa kwa kishindo na ututajie jimbo lako.
 
Ningependa sana kupongezwa na next level.... Yuko wapi huyu mkuu??
 
Umeshinda kwa kishindo na utete maslahi ya wa Tz kwa kishindo
 
kura yako ya urais kwa slaa. ubunge nitakupigia wewe.
 
Umeshinda kwa kishindo na utete maslahi ya wa Tz kwa kishindo

nashukuru sana mkuu, hilo hasa ndilo lililonisukuma kugombea, mwaka huu mtashangaa mbunge wa ccm akiisimamia vilivyo serikali ya ccm!!! tuombeane tuvuke salama
 
nashukuru sana mkuu, hilo hasa ndilo lililonisukuma kugombea, mwaka huu mtashangaa mbunge wa ccm akiisimamia vilivyo serikali ya ccm!!! tuombeane tuvuke salama
utaisimamiaje serekali ya ccm, wakati huo sio msimamo wa chama? rejea post yako nyuma uliosema kwamba uliunga mkono Six kunyag'anywa kadi kwa sababu hakua anacheza santuri ya chama, huoni hapo umeisha anza kuji kanyaga? na umeona kaka/dada zako waliokuwa na tabia hizo wameondolewa kwenye kinyanganyiro cha ubunge.
 

hongera lakini inaonekana waliokuomba kugombea/wadhamini wako hawaitaki mema maendeleo ya watanzania zaidi ya maslahi binafsi
 
Kazi unayo mkuu, we jipigie kura lakini ya Rais mpe Dr. Slaa anayejua mambo. Mungu amesha tupa huyo shujaa. Msimamo wangu ni kumpigia mtu na si chama.
 
Hongera zako
naona mwaka huu wakina Kuchikuchi wamelizira hilo Jimbo,,, Ukifika huko bungeni kama Jamaa hatakupa jukumu la kumsaidia Prof.......Japo uwezekano ni mkubwa saana,,,,Plz upiganie hili daraja tunaloahidiwa kila kukicha. Nadhani wanajimbo watakukumbuka kwa hilo

All the best MU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…