asante sana na sitakwa na suluhu na mafisadi, believe me!!
umenena mkuu, lakini kumbuka mtu mtulivu huchagua kw utulivu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
sio swali zuri hata kidogo kwani upashanaji habari si lazima uwe wa aina ya interview ama usaili!
nashukuru kwa kunitia moyo. sina woga wala wasiwasi hata kidogo, nimejiandaa vizuri na chama changu kiko sawasawa mkuu, jimboni kwangu tutashinda ngazi zote
hapana mkuu, natumia za CCM, za cadema bado hazijatamadunishwa kitanzania
kati ya watu ambao sipendi kufanana nao ni hao uliowataja. binafsi niliunga mkono sita alipotakiwa kupokonywa kadi ya ccm. huwezi kuwa CCM kisha ukapiga siasa za kudandia kama unacheza santuri za muziki, hao uliowataja wamepungua sana kwenye mizani ya weledi
mimi ni mwanasiasa na mrema hajapata kuwa mwanasiasa hata siku moja bali siku zote anafanya biashara
utajua soon mkuu, vuta subira
jina na jimbo vinafuata soon