madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,417
- 862
si ndio maana nimeuliza sikudandiakama wewe mgeni acha kufatilia yasiyokuhusu
ok sasa maana yake niniWeka mada yako vizuri ueleweke mzee, hiyo isikupe shida nawewe waweza set tu.
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
haya ngoja wajesi ndio maana nimeuliza sikudandia
Hatimaye nimefanikiwa kuutoa huo ujinga baada ya kusema huo ujinga unapatikana upande wa signature oughtttMaana yake ni kuwa either anatumia simu husika ambayo ina JF mobile App au wengine wanaedit tu... Kwenye app kuna sehemu ya signature ndio maana wameweka hivyo, unaweza ukaset on or off
aksante mkuu kwa majibu yaliyoshiba ni wengi hatuelewi lakini tunaogopa kuulizaMaana yake ni kuwa either anatumia simu husika ambayo ina JF mobile App au wengine wanaedit tu... Kwenye app kuna sehemu ya signature ndio maana wameweka hivyo, unaweza ukaset on or off