Hii nchi haina wabunifu kabisa ni mwendo wa kukaliliNimeshangaa Sana kukosa huduma ya TRA (KULIPA KODI) kisa sijapanga fremu. Dunia ya Sana haihitaji watu kuwa na fremu au kuwa ofisini ndiyo wafanye biashara. Kuna baadhi ya biashara ambazo zinaweza fanyika online vzuri Tu bila hata kupanga fremu. Kuna haja ya TRA kuja na mawazo mbadala, online ndipo biashara zinaelekea siku hizi, mambo ya fremu yanaenda kuwa outdated.
Yah...wamekariri yote waliyofundishwa darasani, hawataki kwenda na dunia ilipo Kwa sasa. Wanashindwa fahamu kwamba Alibaba siyo soko Bali ni platform ya watu kuuzia biashara zao mtandaoni. Sasa kulazimisha watu wapande fremu ni Jambo lilopitwa na wakatiHii nchi haina wabunifu kabisa ni mwendo wa kukalili
Nimeshangaa Sana kukosa huduma ya TRA (KULIPA KODI) kisa sijapanga fremu. Dunia ya Sasa haihitaji watu kuwa na fremu au kuwa ofisini ndiyo wafanye biashara. Kuna baadhi ya biashara ambazo zinaweza fanyika online vzuri Tu bila hata kupanga fremu.
Kuna haja ya TRA kuja na mawazo mbadala, online ndipo biashara zinaelekea siku hizi, mambo ya fremu yanaenda kuwa outdated.
Unakielewa unachotueleza au umeparamia tudhani wewe ni mzalendo kumbe Chinga.Nimeshangaa Sana kukosa huduma ya TRA (KULIPA KODI) kisa sijapanga fremu. Dunia ya Sasa haihitaji watu kuwa na fremu au kuwa ofisini ndiyo wafanye biashara. Kuna baadhi ya biashara ambazo zinaweza fanyika online vzuri Tu bila hata kupanga fremu.
Kuna haja ya TRA kuja na mawazo mbadala, online ndipo biashara zinaelekea siku hizi, mambo ya fremu yanaenda kuwa outdated.
Wanataka MKATABA wa sehemu unayofanya biashara na uwe umepigwa muhuri wa Serikali za Mtaa, na mwanasheria.Trubarg mbona tuliambiwa hata kama unayo biashara ya mtandao unasajiliwa na kuendelea kulipa kodi? labda kama hujawaelewa wanachotaka ni wapi unapatikana anuani yako ungewapa hata makazi unapokaa. mnona madereva wa teksi wanalipa kodi na ofisi zao ni gari hawana eneo maalum. ingependeza ungesema ni ofisi ipi najua ili ijulikane maana mbona ukiwaeleza biashara yako unafanyia mitandaoni wanakubali na kutaka kujua wapi unapatikana.
Wewe ni tiarahei kwa utetezi huu🤣🤣Trubarg mbona tuliambiwa hata kama unayo biashara ya mtandao unasajiliwa na kuendelea kulipa kodi? labda kama hujawaelewa wanachotaka ni wapi unapatikana anuani yako ungewapa hata makazi unapokaa. mnona madereva wa teksi wanalipa kodi na ofisi zao ni gari hawana eneo maalum. ingependeza ungesema ni ofisi ipi najua ili ijulikane maana mbona ukiwaeleza biashara yako unafanyia mitandaoni wanakubali na kutaka kujua wapi unapatikana.
Hii ndiyo shida yetu mtu ukija na unachokifahamu kumsaidia aliyekumbana na shida unaonekana mtetezi au chawa. Mwana hapo kakumbana na changamoto na tra sasa kosa langu lipi kumjuza nachokifahamu? hatuendi hivo ndugu kama ulishawahi fanikiwa jambo na mtu kakutana na shida kama hiyo unampa taarifa tu ili naye afanikiwe siyo kila mtu humu akitoa mawazo au mchango tofauti na mawazao yako basi anakuwa anatetea.Wewe ni tiarahei kwa utetezi huu🤣🤣