Nimeshindwa kumsoma!!!!!

Sampuli ya wanawake wa hivyo husababisha ikufike siku ukawasha torch ya simu yako umulikie kuitafuta simu hiyohiyo uliyonayo mkononi ! Hafai msikitini ! Hafai kanisani.


Hafai hata kwa ibilisi.
 
Mh mwana mbona hujui kuconnect scenes za movie?? Mkoa wenyewe huo IRINGA(ful baridi)+Mesej zako kufutwa kwenye simu yake+kukuta mesej za midume 6+hatak uwende anapoish+kujiliza na kusema hafai kwako+penz la mbali= ???.Hebu fanyafanya editing hzo scenes mie natayarisha mabango tuirushe.Hyo itakuwa bonge 1 la muvi kaka 2takoka kimaisha.Kuwa editor mzur co lazma usomee ni kujaribu kuwa m2ndu na kujua kupangilia hzo scenes mwisho wa cku muvi itasomeka.kama bdo hujaelewa utakuwa una matatzo kwny brain yako na unastahili kwenda dodoma kwenye ukumbi mdogo wa bunge a.k.a milem**
 
Wewe umeelewa kabisa kinachoendedelea lakini kwa sababu unampenda huamini kuwa si wako tena.
 
Kama umeshindwa kumsoma, basi jaribu kumchora.
 
Sijui hata niseme nini!Ah kumbe nimeshasema!Haya mambo ya wanawake bana aaaargghhhh!!
 
Iringa kumekucha siku hizi! Wadau watakuwa wameshaweka zygote tayari! Pole sana!
 
Jamani mi nimepita tu kuwasalimu na kuwatakia sikukuu njema.
 
Nashukuru kwa mchango wen japo wengine wamekejeli taaluma za wahusika sio mbaya sana, ni mawazo na mtazamo wao. Ahsanteni sana wadau! Sikukuu njema! Bwana awatie nguvu!!
 
kama amekuambia hafai hata kuwa mbwa wako,kwanini unataka kulzaimisha kuwa mfaga mbwa wake?tafuta mbwa mwingine,huyo hafai usikute anangoma.ohh
 

Achana naye unauliza nini tena?
 
mwache aende zake asije kukuletea maradhi ndani ya house bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…