Nimeshindwa kumuelewa mke wangu, yaani ni kosa kutokutwa na meseji za kucheat?

Nimeshindwa kumuelewa mke wangu, yaani ni kosa kutokutwa na meseji za kucheat?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Simu yangu kipindi cha nyuma nilikuwa siweki password. Mpaka siku moja nilipoibiwa halafu mwizi akaanza kuomba zitumwe pesa kwenye namba fulani akitumia simu yangu.

Hapo nikaona niwe naweka password. But pia kwa sasa hizi simu ni kama laptop. Tunahifadhia docs muhimu n.k. so naweka na pia password nampa aifahamu siyo kesi.

Nmeenda oga kumbe yeye kaamua kufanya ujasusi kwenye simu yangu nmerudi namkuta amenuna.sikuelewa sababu.but nikaona mwendelezo wa kununa na hasira ni mkubwa ndo kumuuliza nini kisa.

Ananambia najifanya mjanja na delete msg za mapenzi kwenye simu. Haiwezekani akose msg hata moja ha kuonesha nina mchepuko. Mimi mhuni nliye na uzoefu sana kiasi kwamba siachi alama. Amekagua simu nzima hajakuta text toka kwa mchepuko.

Yaani amekasirika kutokuta kuna ushahidi kuwa nachepuka akaenda mbali kusema ndio maana najifanya kumpa password sababu kila kitu kipo well organized. Nimewaambia michepuko mida fulani wasipige wala kutuma text.

Anasema ni bora mke wa rafiki yake alikuta msg za mchepuko kwenye simu ya mumewe. Ila mimi hata alama siachi jinsi nlivyo mzoefu.

Nimeshangaa sana. Yaani ni kosa kutokutwa na msg za kucheat? Hawa wanawake ni ngumu kuwaelewa kabisa. Ovess.

1620121618883.png

 
kuna mzee huyo kila akikaribia kufika nyumbani kwake atakaa mahali nusu saa
hapo ndio muda ambao anatumia kutunza ndoa yake yenye miaka zaidi ya 20
anachezeaga simu yake tu muda huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna mzee huyo kila akikaribia kufika nyumbani kwake atakaa mahali nusu saa
hapo ndio muda ambao anatumia kutunza ndoa yake yenye miaka zaidi ya 20
anachezeaga simu yake tu muda huu
Na ndio mbinu iliyodumisha ndoa za wazee wetu mpaka wamezeeka pamoja. Mzee hata kama katoka safari, haendi home direct! Ataweka kituo sehemu, then anampa mkoba au koti kijana atangulize nyumbani. Then baadae yeye ndio anakuja.

Sasa sisi wa siku hizi ni kuwindana kama ngedere mara unapekua simu, mara unarudi nyumbani ghafla, ukisafiri unasema narudi jumanne halafu unarudi jumatatu ghafla... kuna watu mpaka wamefunga cctv kwa siri nyumbani. Mwisho unachokitafuta unakipata kweli halafu unaanza kulia lia
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo anataka kesi tu mwambie hapo home sio mahakama tafadhali
 
Wanawake wakati mwingine hata hujui wanatafuta nini maana inakuwa kama anatafuta sababu akushushe lawama ili aondoke maana hata hujui. Mume anakuheshimu, haongei na hiyo michepuko mbele yako wala hajakupunguzia kitu unataka nini kuchokonoa mambo kwenye simu. akikuacha? kesho unarudi tena kwake hapo hapo hata power huna tena.

Siri hii kwa wanawake nawapa, mwanamme hapendi kufuatiliwa sana wala gubu hata kama unahisi anamchepuko potezea kuwa kawaida tu na kuhakikishia mume hata kuacha kamwe atazunguka huko kwako hata ondoka lakini ukianza gubu tu mume ataichukia nyumba na ataanza kuona nje kuzuri sababu sipati gubu maana mchepuko anajuwa jamaa ana mke hakuna jipya wala sileti vineno wewe mume akirudi home kelele tu basi ujuwe unachimba kaburi hata kama alikuwa anakupenda ataanza kuwaza tofauti.
 
Back
Top Bottom