Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Simu yangu kipindi cha nyuma nilikuwa siweki password. Mpaka siku moja nilipoibiwa halafu mwizi akaanza kuomba zitumwe pesa kwenye namba fulani akitumia simu yangu.
Hapo nikaona niwe naweka password. But pia kwa sasa hizi simu ni kama laptop. Tunahifadhia docs muhimu n.k. so naweka na pia password nampa aifahamu siyo kesi.
Nmeenda oga kumbe yeye kaamua kufanya ujasusi kwenye simu yangu nmerudi namkuta amenuna.sikuelewa sababu.but nikaona mwendelezo wa kununa na hasira ni mkubwa ndo kumuuliza nini kisa.
Ananambia najifanya mjanja na delete msg za mapenzi kwenye simu. Haiwezekani akose msg hata moja ha kuonesha nina mchepuko. Mimi mhuni nliye na uzoefu sana kiasi kwamba siachi alama. Amekagua simu nzima hajakuta text toka kwa mchepuko.
Yaani amekasirika kutokuta kuna ushahidi kuwa nachepuka akaenda mbali kusema ndio maana najifanya kumpa password sababu kila kitu kipo well organized. Nimewaambia michepuko mida fulani wasipige wala kutuma text.
Anasema ni bora mke wa rafiki yake alikuta msg za mchepuko kwenye simu ya mumewe. Ila mimi hata alama siachi jinsi nlivyo mzoefu.
Nimeshangaa sana. Yaani ni kosa kutokutwa na msg za kucheat? Hawa wanawake ni ngumu kuwaelewa kabisa. Ovess.
Hapo nikaona niwe naweka password. But pia kwa sasa hizi simu ni kama laptop. Tunahifadhia docs muhimu n.k. so naweka na pia password nampa aifahamu siyo kesi.
Nmeenda oga kumbe yeye kaamua kufanya ujasusi kwenye simu yangu nmerudi namkuta amenuna.sikuelewa sababu.but nikaona mwendelezo wa kununa na hasira ni mkubwa ndo kumuuliza nini kisa.
Ananambia najifanya mjanja na delete msg za mapenzi kwenye simu. Haiwezekani akose msg hata moja ha kuonesha nina mchepuko. Mimi mhuni nliye na uzoefu sana kiasi kwamba siachi alama. Amekagua simu nzima hajakuta text toka kwa mchepuko.
Yaani amekasirika kutokuta kuna ushahidi kuwa nachepuka akaenda mbali kusema ndio maana najifanya kumpa password sababu kila kitu kipo well organized. Nimewaambia michepuko mida fulani wasipige wala kutuma text.
Anasema ni bora mke wa rafiki yake alikuta msg za mchepuko kwenye simu ya mumewe. Ila mimi hata alama siachi jinsi nlivyo mzoefu.
Nimeshangaa sana. Yaani ni kosa kutokutwa na msg za kucheat? Hawa wanawake ni ngumu kuwaelewa kabisa. Ovess.