Nimeshindwa kumuelewa mke wangu, yaani ni kosa kutokutwa na meseji za kucheat?

Mume wako amepata mke hasa. Kama una rafiki au mdogo wako mwelewa kama wewe plz tuwasiliane.
 
We utakuwa mzee wa Mark all=>Delete all
Sasa shemeji anakosa pa kuuliza huyu nani.
Uwe unaacha hata za promosheni na za matapeli ili atolee povu humo
 
Anataka ugomvi wa kulazimisha huyo!
Sasa ebu fanya mpango aikute halafu tuone atafanyaje...🤐😎
 
Kama ulikuwa huna tabia ya kutoshika simu ya mwenza ni vyema ukaendelea hivohivo.
 
Hahahaha...
Nimecheka sana... Embu weka picha ya huyo mwanamke tuone anafananaje....

Shunie njoo usome hii... ati kwa nini simu inakaa mbali na binadamu...
 
Hata mie nimewahi ulizwa mbona sikuti sms za wanawake kwenye simu yako?utakuwa unani cheat kwa siri sn ww.Akazua ugomvi,wakati mimi sina mwingine zaidi yake na nimeridhika na vitu anavyonipa vyote.Hawa watuuu!
 
Ha haaa anza ku flirt mkuu. Sindo anachotaka huyo bibie
 
Jasusi kakutana na CIA
 
Wasiojiamini wanahangaika sana kwenye ndoa.
 
Hii ya mzee kutoka safari anafikia kijiweni anampa koti na mikoba kijana apeleke home yeye anakuja bakadae umenikmbusha mbali sana.

Hivi hawa wazee walikuwa hawawamisi wake zao?
 
Ukiona hivyo ujue Mkeo anaye mchepo wake na anampenda sana sasa anajistukia kwanini wewe huna ili ngoma iwe droo!! Wanawake wana akili sana.

Hata mi naona yaani.! Anatafuta equalizer ili mtoke sare sare..! Wanawake sio wajinga na wapuuzi kama unavyohisi. They’re very smart mimi huwa sichukulii masiala sentensi yoyote akitokea ametamka. Ni Nyoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…