Alaah,,am sorry mkuuHahaha mkuu me ke bhna[emoji23][emoji23]
Sawa qeen leo unipe mwaliko kwako, ili hilo swala tuone kama litajitokeza tulitatueUsijali
Asante ,wap huko unakaaKaribu snaa mkuu
Good Girl,Nilipga haikupatina pia wenzangu waliniambia nisinyanyuke kumsikiliza
Yeah iko hvo pia nimejifunza next time nata siangaikiGood Girl,
Dunia ya sasa haina huruma mtu kama ana tatizo aende Police Station au Nyumba yoyote ya ibada nadhani kwa usiku ni rahisi kusaidiwa kuliko kugonga nyumba za watu, hiyo ni kwa usalama wake pia sababu hajui anayemfungulia na kumuhifadhi na yeye ana roho gani.
Bora wali maharage, kuliko wali mwenguYaani umfungulie mtu usiyemjua usiku!!!!! Sio watu wote waendeshao magari/watembeao kwa miguu barabarani wana kazi halali, kumbuka pia wanawake/watoto wanatumiwa sana kwenye uhalifu. Hiyo nyumba mtaanza kuchorewa ramani muda si mrefu.
Hawez kuwa pisi kali huyu..pisi kali huwa hazipandag lift kibwege bwege hiv..ila unaujasiri sana,Nikupongeze kwa hilo.
Mtu humjui,hakujui anakuambia njoo nikupe lift na wewe unakubali,
amenishangaza sana aisee,sasa angebakwa au kutekwa angemlaumu nani?.Dunia ya sasa watu si waaminifuHawez kuwa pisi kali huyu..pisi kali huwa hazipandag lift kibwege bwege hiv..