Hv huyu mama uwa ana pair moja ya nguo ?
HahahaNdiyo maana Mimi mwenzio ninakata laki kila mshahara kwaajili ya scrub na kupaka pico ,siko tayari kuitwa mbaba au kupewa salamu za kitumwa sijui shikamoo .
Kuhusu kunyanzi ni mwendo wa kujisugua na magadi na majivu ,sitakula kuzeeka kizembe hivyo
kugalagala kitu gani bwana ugali mtamu nyie.