Nimeshuhudia Yanga SC pekee ikitia mpira kwapani,ni June 2008

Nimeshuhudia Yanga SC pekee ikitia mpira kwapani,ni June 2008

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Katika kumbukumbu zangu toka nianze kuwa mpenzi na mfuatiliaji wa mpira wa Bongo,sijawahi kushuhudia timu yeyote inayoshiriki kombe au ligi kubwa kukimbia mchezo isipokuwa Yanga

Ilikuwa ni 28 June 2008 katika kombe la Kagame dhidi ya Simba SC. Tukiwa tumejaa ukumbini kusubiri game,kwa mda mrefu tukashindwa kuelewa kuhusu Yahnga SC. Tunaona Mnyama pekee akipasha misuli tayari kwa mpambano

Hatimaye Msonye akatoa tamko la kulaani Yanga kuingia uwanjani ikitoa visingizio visivyo na akiri. Ukweli ukabaki palepale kwamba Simba alikimbiwa

Kabla na baada ya hapo sijawahi kushuhudia timu ikiweka mpira kwapani isipokuwa Yanga SC dhidi ya Simba

Lakini pia nimeshuhudia kombe la mtani jembe kuishia kusikojulikana baada ya Yanga kula 5 bila
 
Katika kumbukumbu zangu toka nianze kuwa mpenzi na mfuatiliaji wa mpira wa Bongo,sijawahi kushuhudia timu yeyote inayoshiriki kombe au ligi kubwa kukimbia mchezo isipokuwa Yanga

Ilikuwa ni 28 June 2008 katika kombe la Kagame dhidi ya Simba SC. Tukiwa tumejaa ukumbini kusubiri game,kwa mda mrefu tukashindwa kuelewa kuhusu Yahnga SC. Tunaona Mnyama pekee akipasha misuli tayari kwa mpambano

Hatimaye Msonye akatoa tamko la kulaani Yanga kuingia uwanjani ikitoa visingizio visivyo na akiri. Ukweli ukabaki palepale kwamba Simba alikimbiwa

Kabla na baada ya hapo sijawahi kushuhudia timu ikiweka mpira kwapani isipokuwa Yanga SC dhidi ya Simba
Revisit your history teacher.
 
Katika kumbukumbu zangu toka nianze kuwa mpenzi na mfuatiliaji wa mpira wa Bongo,sijawahi kushuhudia timu yeyote inayoshiriki kombe au ligi kubwa kukimbia mchezo isipokuwa Yanga

Ilikuwa ni 28 June 2008 katika kombe la Kagame dhidi ya Simba SC. Tukiwa tumejaa ukumbini kusubiri game,kwa mda mrefu tukashindwa kuelewa kuhusu Yahnga SC. Tunaona Mnyama pekee akipasha misuli tayari kwa mpambano

Hatimaye Msonye akatoa tamko la kulaani Yanga kuingia uwanjani ikitoa visingizio visivyo na akiri. Ukweli ukabaki palepale kwamba Simba alikimbiwa

Kabla na baada ya hapo sijawahi kushuhudia timu ikiweka mpira kwapani isipokuwa Yanga SC dhidi ya Simba
Kumbe Okwi wewe ni mtoto mdogo ?! Bado maziwa yananuka mdomoni [emoji40] [emoji85]

Simba ndio mabingwa wa kwapani [emoji23] [emoji12]
 
Katika kumbukumbu zangu toka nianze kuwa mpenzi na mfuatiliaji wa mpira wa Bongo,sijawahi kushuhudia timu yeyote inayoshiriki kombe au ligi kubwa kukimbia mchezo isipokuwa Yanga

Ilikuwa ni 28 June 2008 katika kombe la Kagame dhidi ya Simba SC. Tukiwa tumejaa ukumbini kusubiri game,kwa mda mrefu tukashindwa kuelewa kuhusu Yahnga SC. Tunaona Mnyama pekee akipasha misuli tayari kwa mpambano

Hatimaye Msonye akatoa tamko la kulaani Yanga kuingia uwanjani ikitoa visingizio visivyo na akiri. Ukweli ukabaki palepale kwamba Simba alikimbiwa

Kabla na baada ya hapo sijawahi kushuhudia timu ikiweka mpira kwapani isipokuwa Yanga SC dhidi ya Simba

Lakini pia nimeshuhudia kombe la mtani jembe kuishia kusikojulikana baada ya Yanga kula 5 bila
kweli wewe dogo ,1992 kama sijasahau baada ya Athumani China kuwapiga goli simba dakika ya kwanza ,Simba hawakurudi uwanjani kipindi cha pili Enzi za GULLAM ALI aka GULLAMALI
 
kweli wewe dogo ,1992 kama sijasahau baada ya Athumani China kuwapiga goli simba dakika ya kwanza ,Simba hawakurudi uwanjani kipindi cha pili Enzi za GULLAM ALI aka GULLAMALI
Ni kweli kabisa yaani timu nzima ya simba ikijumuisha wachezaji na viongozi waliamua kutimua mbio live kabisaaa wakati wa mapumziko ili kujinusuru na kichapo cha mbwa mwizi
 
Jifunze matumizi ya R na L ........uandishi gani huu .....
 
Katika kumbukumbu zangu toka nianze kuwa mpenzi na mfuatiliaji wa mpira wa Bongo,sijawahi kushuhudia timu yeyote inayoshiriki kombe au ligi kubwa kukimbia mchezo isipokuwa Yanga

Ilikuwa ni 28 June 2008 katika kombe la Kagame dhidi ya Simba SC. Tukiwa tumejaa ukumbini kusubiri game,kwa mda mrefu tukashindwa kuelewa kuhusu Yahnga SC. Tunaona Mnyama pekee akipasha misuli tayari kwa mpambano

Hatimaye Msonye akatoa tamko la kulaani Yanga kuingia uwanjani ikitoa visingizio visivyo na akiri. Ukweli ukabaki palepale kwamba Simba alikimbiwa

Kabla na baada ya hapo sijawahi kushuhudia timu ikiweka mpira kwapani isipokuwa Yanga SC dhidi ya Simba

Lakini pia nimeshuhudia kombe la mtani jembe kuishia kusikojulikana baada ya Yanga kula 5 bila
Hivi we mbux3 kuweka Mpira kwapani unakujua kweli ? Alafu kumbe we ni kinda sana, yaani kumbukumbu y'a 2008, hiyo si juzi tu ? Je unajua Simba ana Mikia FC walifanya Nini miaka ya 80th. Hebu Muulize baba yako atakueleza, hapo ndiyo utaelewa maana ya kuweka mpira kwapani dogo.
 
Katika kumbukumbu zangu toka nianze kuwa mpenzi na mfuatiliaji wa mpira wa Bongo,sijawahi kushuhudia timu yeyote inayoshiriki kombe au ligi kubwa kukimbia mchezo isipokuwa Yanga

Ilikuwa ni 28 June 2008 katika kombe la Kagame dhidi ya Simba SC. Tukiwa tumejaa ukumbini kusubiri game,kwa mda mrefu tukashindwa kuelewa kuhusu Yahnga SC. Tunaona Mnyama pekee akipasha misuli tayari kwa mpambano

Hatimaye Msonye akatoa tamko la kulaani Yanga kuingia uwanjani ikitoa visingizio visivyo na akiri. Ukweli ukabaki palepale kwamba Simba alikimbiwa

Kabla na baada ya hapo sijawahi kushuhudia timu ikiweka mpira kwapani isipokuwa Yanga SC dhidi ya Simba

Lakini pia nimeshuhudia kombe la mtani jembe kuishia kusikojulikana baada ya Yanga kula 5 bila
Haya
 
Kilichofanyika ktk Kombe la Kagame ni kwamba Simba waliisaliti Yanga kwa kupeleka timu uwanjani ili hali walishakubaliana kutoingiza timu kutokana na mgongano wa kimaslahi kaya hizo timu na CECAFA.
 
Back
Top Bottom