NIMESHUKA BILA KUPENDA

Kuna siku dereva wa bodaboda alikuwa anamalizia bangi yake yupo na pikipiki yake. Ile namsogelea ananiambia "bro twende" Nikamwambia "sina safari"
Usijiulize nilijuaje kama ile ilikuwa bangi, mi mwenyewe nilishalipuliza enzi hizo
 
Bro ndo Dili zangu za kupiga pesa hpa mjini hii mbinu huwa inanifanya nitumie Lita 1 kupta hadi 20 elfu mjini tunaishi kwa akili hyo hata ukisoma madarasa mangapi hutaipata
 
Niliwah mpa mmoja amri....."_ukiendesha mshale ukazidi 40 sikulipi" aliendesha kwa umakini kweli. Usipowaambia mashart yako wanakukimbiza ( ila angalia mavazi...macho ...na nywele kabla hujachagua bodaboda kama wako wengi )
 
N
Niliwah mpa mmoja amri....."_ukiendesha mshale ukazidi 40 sikulipi" aliendesha kwa umakini kweli. Usipowaambia mashart yako wanakukimbiza ( ila angalia mavazi...macho ...na nywele kabla hujachagua bodaboda kama wako wengi )
Na NDEVU Kama zimeota au hajaanza ota ndevu
 
Bro ndo Dili zangu za kupiga pesa hpa mjini hii mbinu huwa inanifanya nitumie Lita 1 kupta hadi 20 elfu mjini tunaishi kwa akili hyo hata ukisoma madarasa mangapi hutaipata
Sawa kaka lakin uhai wangu ni muhim Nina familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…