Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,159
- 1,274
Bi Khadija ndio msanii wangu pendwa wa muda wote, toka enzi za TOT tunavimba nae. Mwananyamala bi Khadija hana shida na mtu yeye ni mpole si chakaramu kama umuonavyo jukwaani alikuwa vizuri na kila mtu. Muulizeni marehemu Nasma. Khadija mnamuita mama kwetu wengine ni dada tena gwiji haswa. Yoyote ataemkera ajue anaturudisha kwenye ujana hatutokubali. Bi Khadija ukinunua ugomvi tuuzie hisa na sisi tunautaka.