cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Jinsia gani Me au Ke?
Sasa mkuu kwanini unasikiliza maneno ya kuambiwa?
MeWewe ni Me
Yeye ni Me au Ke?
Kama ulikuwa ukijua kwanini ulijiingiza kwake?Ana historia ya pombe na bangi hii naijuwa bila kuambiwa lakini sijajua anakunywa kiasi gani
Wewe ni Me na yeye ni Me alafu mpo kwenye mahusiano ya kimapenzi, seriously?
Japo anaonesha malengo kwenye mahusiano lakini tabia zake ninazoambiwa zimenivuruga
🤣🤣🤣🤣Wewe ni Me na yeye ni Me alafu mpo kwenye mahusiano ya kimapenzi, seriously?
Huu utani huu.. tuweni serious sometimes🤣🤣🤣🤣
Muombee abadilike au uachane naye asijekukusumbua baadaye.maamuz ni yakoNimekata tamaa ya kuwa na huyu mtu baada ya kusikia anavuta bangi,sigala,madawa na pombe Ungekuwa weh ungefanyaje? Japo anaonesha malengo kwenye mahusiano lakini tabia zake ninazoambiwa zimenivuruga