Nimesikia mpenzi wangu anavuta bangi, nifanyaje?

Nimekata tamaa ya kuwa na huyu mtu baada ya kusikia anavuta bangi,sigala,madawa na pombe Ungekuwa weh ungefanyaje? Japo anaonesha malengo kwenye mahusiano lakini tabia zake ninazoambiwa zimenivuruga
Muombee abadilike au uachane naye asijekukusumbua baadaye.maamuz ni yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…