Nimesikia Tarime iko Kaskazini Magharibi mwa Tanzania

Nimesikia Tarime iko Kaskazini Magharibi mwa Tanzania

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Kutoka Radio One asubuhi hii saa 12:50 kipindi cha Nipashe, Nimemsikia msoma risala ya kumuaga Kiongozi mmoja wa JWTZ akisema Chacha Suguti alizaliwa wilaya ya Tarime - mkoa wa Mara uliopo Kaskazini Magharibi mwa Tanzania!!!

Hivi reference point huwa iko wapi tunapotaja hizi locations?
Je, ni katikati ya nchi au Dsm?
 
Ungana nao
Hayo ni majibu mepesi. Niungane na nani?

Unaanzisha uzi kama huu ili kuwa hukumu nani? Punguza Hasira Faana...au ndipo ulipotoka? Manake wanajulikana kwa kupandisha Mori.

Haya umeshinda.
 
Na Kagera iko wapi
Je tunatumia reference point gani
Yote ni mikoa ya kanda ya ziwa ukigawa kwa kanda

Na ni mikoa ya kaskazini magharibi ukitumia true north...!?

Kazi kwako kuelewa au kukalili...!
 
Yote ni mikoa ya kanda ya ziwa ukigawa kwa kanda

Na ni mikoa ya kaskazini magharibi ukitumia true north...!?

Kazi kwako kuelewa au kukalili...!
Tunaposema Dodoma na Singida ni mikoa ya kanda ya Kati, Kigoma Magharibi nk tunakuwa tumesimama wapi?
 
Ni kaskazini Magharibi ndiyo. Mara, Mwanza na hata Arusha zipo Kaskazini magharibi.

Kagera na mikoa jirani ipo Kaskazini Madhariki.
Tunakuwa tumesimama wapi tukiwa na ramani ya Tanzania
 
Tunaposema Dodoma na Singida ni mikoa ya kanda ya Kati, Kigoma Magharibi nk tunakuwa tumesimama wapi?
Nilitamani nisikujibu ila ngoja nichangie...

Kama dodoma ndio kati (kanda ya kati) na ndio makao makuu ambapo una weka True North yako... utapata majibu gani?
 
Nilitamani nisikujibu ila ngoja nichangie...

Kama dodoma ndio kati (kanda ya kati) na ndio makao makuu ambapo una weka True North yako... utapata majibu gani?
1672287715219.png

Je Kilimanjaro, Arusha zinakuwa Kaskazini kweli?
 
Reference point ni Jua ambalo halijawahi kubadili uelekeo wake linapo chomoza na kuzama from there gawanya pande kuu nnne za dunia au nane au 16
 
Back
Top Bottom