Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nimeshangaa wamasai wanalia. Wamasai wanalia Sabaya aachiwe! Hii inashangaza. Zamani hili jambo lingeitishiwa kikao na Maleigwani huko kwao.
Mmasai anatakiwa apandishe Mori siyo kulia. Miaka hii Mmasai analia? Wamasai walikuwa walinzi miaka yetu walinzi wa kuaminika. Sasa hivi wasusi, Daaah. Inaumiza sana. Kutoka kwenye ulinzi hadi kuwa wasusi? Afadhali wangeshuka hadi kuwa migambo. Inaumiza sana.
Wamakonde. Hawa nakumbuka home alikuwepo mmoja mlinzi.miaka ya 80's tu hapa wala si mbali. Alikuwa mlinzi na mishale yake humwambii kitu. Sasa wamakonde wanauza vipodozi. Sasa hivi huwasikii tena. "Ukisimama nchale, ukikimbia nchale, ukilala chini nchale, ukichuchumaa nchale, ukiinama nchale, ukikaa nchale".
Hamna kitu tena. Mambo yamebadilika na dunia ya sasa si dunia ya zamani.
Mmasai anatakiwa apandishe Mori siyo kulia. Miaka hii Mmasai analia? Wamasai walikuwa walinzi miaka yetu walinzi wa kuaminika. Sasa hivi wasusi, Daaah. Inaumiza sana. Kutoka kwenye ulinzi hadi kuwa wasusi? Afadhali wangeshuka hadi kuwa migambo. Inaumiza sana.
Wamakonde. Hawa nakumbuka home alikuwepo mmoja mlinzi.miaka ya 80's tu hapa wala si mbali. Alikuwa mlinzi na mishale yake humwambii kitu. Sasa wamakonde wanauza vipodozi. Sasa hivi huwasikii tena. "Ukisimama nchale, ukikimbia nchale, ukilala chini nchale, ukichuchumaa nchale, ukiinama nchale, ukikaa nchale".
Hamna kitu tena. Mambo yamebadilika na dunia ya sasa si dunia ya zamani.