Gharama za uendeshaji zimepanda ile ya awali kwakweli haitoshi tena make siyo rahisi mwanachuo umlishe,alale,aoge na matibabu kwa sh70,000 .Hatimaye serikali yapandisha ada kwa wanaosoma vyuo vya ualimu kwa zaidi ya mara mbili ya iliyokuwepo awali(grade a watalipa Tsh 300000,diploma arts Tsh 400000 na diploma science Tsh 600000)je hili mnalionaje jamani?
Hakika mkuu laki tatu na laki nne kwa mwaka bado ni pesa ya kawaida uendeshaji umepanda sana hiyo gharama naona bado inalipika mbona shule za msingi kwa baadhi ya shule za binafsi watu wanalipia zaidi ya milioni mpaka mbili.Sawa tu kwani wewe huoni maisha yalivyopanda mkuu.? Vipi vyuo vya binafsi ambavyo vinatoza ada zaidi ya milioni moja mbona husemi na watu wanasoma bila shida...!
Gharama za uendeshaji zimepanda ile ya awali kwakweli haitoshi tena make siyo rahisi mwanachuo umlishe,alale,aoge na matibabu kwa sh70,000 .
Sasa kwa walimu wa sayansi ada juu wakati nchi ina uhaba wa walimu wa sayansi kweli hili hamuoni
wanapewa mikopo.
fair. mbona kodi za nyumba, vyakula, vifaa vya ujenzi na vyakula vyote vimepanda bei hamlalamiki
serikali sikivu inatimiza ahadi yake ya maisha bora kwa kila mtanzania.
wanapewa mikopo.
Hatimaye serikali yapandisha ada kwa wanaosoma vyuo vya ualimu kwa zaidi ya mara mbili ya iliyokuwepo awali(grade a watalipa Tsh 300000,diploma arts Tsh 400000 na diploma science Tsh 600000)je hili mnalionaje jamani?