Nimesikitishwa na taarifa ya kifo cha Balozi Saleh Tambwe

Ngoja nikupe pole wewe mwenyewe kabla ya familia zao hao marehemu watatu,kwani naona mafungamano yako nao,Mungu baba awape pumziko jema.
 
Hakuna Youtuber au Podcaster humu ndani akafanya interview na mzee wetu huyu. Hii ni hazina.

Nina ombi langu Mzee Mohamed Said naomba unitajie siku ambayo upo na muda wa kutosha nikufanyie interview hapa hapa JF pamoja na member wengine wa JF
 
Ina Lillah Waina Illah Rajioun
Pole kwa wote Sheikh
Naijua familia hii vizuri na Baba yake Marehemu Rajabu Tambwe na ndugu yake Omari Tambwe (late) Mungu awahifadhi pema
Nilipoona jina nikajua ni jamaa wa nyumbani
 
Hakuna Youtuber au Podcaster humu ndani akafanya interview na mzee wetu huyu. Hii ni hazina.

Nina ombi langu Mzee Mohamed Said naomba unitajie siku ambayo upo na muda wa kutosha nikufanyie interview hapa hapa JF pamoja na member wengine wa JF
Cvez,
Mimi napatikana muda wowote kaka.
Karibu sana.
 
Habari mzee,huyu Saleh tambwe ndio yule balozi aliye kosa nafasi kwenye ndege iliyokua inatoka dar es salaam kwenda Rwanda mwaka 1994 ambayo ilipata ajali na kuua Marais wawili wa Rwanda na Burundi?

Kuna sehemu nilikua nasoma historian nimekutana na hili jina la Saleh tambwe.
 
Yanga,
Ndiye yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…