Nimesikitishwa na video aliyopost Mwanamitindo/Msanii Wolper inayomuhusu Msanii Harmonize

Kazi wanayoifanya tena mfululizo bila kupumzika lazima matumizi ya bangi etc yahusike
Hawa WASAFI wanalindwa kwasababu MLEZI wao ni Mkuu wa Mkoa, ila raia/msanii mwingine akifanya hayo lazima aozee jela. Ushawishi huu una athari
 
Vijakazi wa Ali kibakuli bwana [emoji23][emoji23][emoji23]

Mtatapatapa sana mpaka mtokwe na jasho kunako tigonilization
 
Kuzungumzia mambo ya mwanaume mwenzio ni ushoga na umama wa kiwango cha juu sana,
Badilika ila kama umezoea kufyatuliwa endelea.
Kama sio muuza bangi, harmonize atakua basha wako wewe.

Kuna wakati jifunze kusimama kwenye haki na ukweli, usiwe mpumbavu kiasi hicho. Swala la kufanya KOSA LA JINAI sio hoja ya jinsia. Tumia akili f*la wewe
 
Hizi fashion za vijana wa siku hizi balaa...hicho kibegi alichovaa mmakonde si wanatumia wamama wanaouza sokoni
 
piece of garbage🚮
 
Siioni tofauti yoyote kati yako na James Delisious,
kwa tabia hii ya kupiga majungu wanaume unaachaje kufiirwa sasa.
Acha mambo ya kike ikiwa huna uke shoga we!
Mi pia sioni tofauti yako na AMBER RUTTY.
 
Kama sio muuza bangi, harmonize atakua basha wako wewe.

Kuna wakati jifunze kusimama kwenye haki na ukweli, usiwe mpumbavu kiasi hicho. Swala la kufanya KOSA LA JINAI sio hoja ya jinsia. Tumia akili f*la wewe
Siioni tofauti yoyote kati yako na James Delisious,
kwa tabia hii ya kupiga majungu wanaume unaachaje kufiirwa sasa.
Acha mambo ya kike ikiwa huna uke shoga we!
 
Mambo mengine Ni kuyaacha yapite tuu
 
Hivi ndo Wolper huyo!!… ama kweli mambo yananipita nashindwa kuwajua wanaoitwa Mastaa… uzee sasa hata macho hayaoni
 
Bang ni tiba ya nervous system.
Bang haina madhara tena inakufanya uwe na uwezo wa kufikiri zaidi
 
Yaani ndugu zako waanze kuvuta bangi baada ya kupata ushawishi kutoka kwa Hamonawizi? Haya bhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…