nimesingiziwa kataka kumshaburia

nimesingiziwa kataka kumshaburia

don g dou

Member
Joined
Jul 6, 2017
Posts
73
Reaction score
9
Kama nalivyo sema hapo juu kuna mzee jirani yangu amenisingizia kutaka kumshaburia chanzo ni kwamba alikua anadai mpaka wa shamba lake aliaza kudai tarekebishe naye nikamwabia aenda kwa mzazi kwa sababu mimi ninalima tu mala ya kwaza alienda wakaonana wakalekebisha mpaka yakaisha nilishangaa wakati ilipo fika palizi akaja tena na kuniambia tarekebishe nikakataa alienda kuitae wazee akaja nao wazee Hawakuona tatizo kwangu wakamshauri akakataa nakugeuza alitaka kukatwa jembe je nitakutwa na hatia au naweza kufungwa
 
Aiseeeee...
Umeandika kwa speed sana mkuu.

Pole sana kwa kusingiziwa,yataisha.
 
Mipaka!mipaka! mipaka.hasa ikiwa unagombea mipaka na wazee ndiyo inakuwaga mwanzo wa watu kurogana.mkuu si alimalizia kwa kusema "utaona"!
 
Back
Top Bottom